mikaka mingine sijui vipi.yaani kaharibu hali ya hewa ile mbaya.Kwa nini Mkuu hujadili hoja za William badala yake unamjadili yeye na wazazi wake? Kwenye siasa hiyo ni dhambi, lakini kule Chit Chat unaweza kufanya hivyo (ikiwa wenyewe watalikubali).
Samahani Mkuu lakini nadhani huo si ustaarabu, hasa kwa JF na kwa Great Thinkers.
"Let's dicuss motions not emotions"
IFIKE MAHALI TUWE NA HILI KUWA UWAZIRI SI KAZI YA KUPEWA NA RAIS MTU AGOMBEE BUNGENI AWEKWE KWENYE KIYI MOTO ATUELEZE NI KWA NINI ANAOUMBA KUWA WAZIRI FULANI WAGOMBEE WATUELEZE MIKAKATI YAO YA KUONGOZA HIZO WIZARA, LAKINI HILI LA KATIBA LA KUMFANYA RAIS ATEUE MARAFIKI NA NDUGU ZAKE HALITAIFIKISHA NCHI HII PPOTE MAANA WATEULIWA WENGI NI WATU WENYE NJAA KALI YA KUTAKA KUJITAJIRISHA NA SIO KUWANEMESHA WADANGANYIKA!!!
KAMA TUTAENDELEA NA MTINDO HUU WA RAIS KUTEUA BASI, iSIWE DHAMBI MTU YEYEOTE ANAETAKA KUTEULIWA KUWA WAZIRI ANAWEZA KUMPIGIA SIMU AU KUMUOMBA RAIS AMTEUE ILI AONGOZE WIZARA FULANI NA AMWAMBIE KWA NINI ANATAKA IWE HIVYO,
PIA KWA KUWA KUNA WABUNGE WENGINE WANAINGIA BUMGENI KWA AJALI MFANO HAMIS KIGWAGALA WA NZEGA, BASI SI VIZURI MBUNGE KUWA WAZIRI MAANA INAPOTEZA MAANA HALISI YA BUNGE KAMA MHIMILI WA KUSIMAMIA SERIKALI NA HAS PALE UNAPOKUWA NA WABUNGE WENGI WA CCM AMBAO NI WAJINGA ZAIDI(ignorant and unconscious wa CIVICS) KULIKO KIGWAGALA. YEYE AMEJIWEKA WAZI LAKINI WENGINE NI ZAIDI YAKE
Halafu analaumiwa Lusinde Mtukanifu tu.mikaka mingine sijui vipi.yaani kaharibu hali ya hewa ile mbaya.
Chadema ni chama makini, mtego huo wa kijinga hauwezi kuwanasa. Na hata kama wakichaguliwa naamini hawakubali uteuzi huo wa kinafiki wenye lengo la kuua harakati.
- Mbona mna kiu sana ya madaraka mpaka mko radhi kuingia mseto, si msubiri tu zamu ikifika wananchi watawachagua, mntaka kuua upinzani sasa mkishakuwa kama CUF mnakuwa sio Upinzani tena ati!, MSUBIRI TU HAMASISHENI WANANCHI KUNA SIKU ITAFIKA ILA KWA SASA BADO!
William.
kwa katiba ya tanzania ya sasa hii haiwezekani
- Impossible understand kwamba tunafuata mfumo wa Demokrasia unaoitwa The Winner Takes All, kama wa USA so haiwezekani kabisa kuwa na Serikali ya mseto under mfumo tulionao sasa, unless tumeubadili!
William.
Ngoma ni pale itakapoidhinishwa na Rais atoe fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara na shule za kata.kwa Kigoma Bagamoyo nk atatoa lkn Sera za CDM ni Majimbo watamkubalia kweli? USA wana sera za muda mrefu za kuitawala Dunia, Obama kutokana na nasaba yake na Dini asingemkamata Osama na angeondoka Mashariki ya katijk ni mjanja sana,imagine zitto anapewa nafasi ya mkullo..je atakataa uteuzi wa rais?
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Kwa katiba yetu ya sasa haiwezekani kwa kuwa inamtaka rais kuchagua mawaziri miongoni mwa wabunge wa chama chenye wabunge wengi.
katiba iyo ni ipi na nchi gani?maana katiba ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ibara ya 55 (4) inamtaka rais kuteua waziri na manaibu kutokana na wabunge walioko bungeni,ayo yako yanapatika wapi?tusaidie!
Kwa nini Mkuu hujadili hoja za William badala yake unamjadili yeye na wazazi wake? Kwenye siasa hiyo ni dhambi, lakini kule Chit Chat unaweza kufanya hivyo (ikiwa wenyewe watalikubali).
Samahani Mkuu lakini nadhani huo si ustaarabu, hasa kwa JF na kwa Great Thinkers.
"Let's dicuss motions not emotions"
Ray LaHood ni Republican na sasa ndiye Secretary of Transportation...kwenye utawala wa Barack Obama (Democrat)
Norman Mineta ni Democrat na alikuwa Secretary of Transportation kwenye baraza la mawaziri kipindi cha utawala wa Raisi George W. Bush (Republican) kuanzia 2001 hadi 2006...
William Cohen ni Republican na alikuwa Secretary of Defense kwenye kipindi cha utawala wa Raisi Bill Clinton (Democrat) kuanzia mwaka 1997 hadi 2001...