Baraka Da Prince na wimbo SIWEZI

Baraka Da Prince na wimbo SIWEZI

BRN

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2013
Posts
5,346
Reaction score
6,841
Baraka da prince ametoka tena na video ya wimbo Siwezi..video..iko vizuri hebu ingia youtube uitazame.
 
..japo nimekosa penzi.
...nitaufariji moyo...
...sitopunguza mapenzi..
.....kukuacha siwezi.....
 
Mkuu unaona vp kama ukamuanzishia Uzi wake kabisa unaonekana ni mkereketwa
 
Mkuu unaona vp kama ukamuanzishia Uzi wake kabisa unaonekana ni mkereketwa
Kwanini Mkuu..unajua nini kuna vijana wako vizuri sana sema hawana 'nyota'. Sio huyu tu hebu mfuatilie belle9 na wengine utakubaliana nami.
 
Idea zake za video zinafanana halafu anabana mikono na miguu kucheza shida ila audio nzuri sana
 
Hebu ngoja nikaitafute maana maneno yamekuwa mengi hapa.
 
Baraka da prince yuko vizuri sana hasa upande wa video na ndio maana japo alikuwa underground lakini nyimbo yake ilikuwa inapigwa kwenye vituo vikubwa vya TV na wala kwake haikuwa sherehe kama ilivyo kwa yule mlinzi wa mijusi.
 
Iko sawa ngoma na video,nimemuelewa!japo kama alivosema pwilo hapo juu idea zake za video zinafanana,sasa cjui tatizo ni yeye mwenyw au ni madirector!n way azidi kuwa mbunifu atafika mbali kimtindo.
 
Back
Top Bottom