watu washamba sana apo hamna mlima wala mteremko ni mpigaji wa picha tu kapiga kwa staili hiyo..nimesahau mikoani hamna vitu kama ivyo ndo mana mnashangaa
Na washkaji wa Nigeria kwake sio number one wa kumpeleka madukani Sauzi beach kununua vifaa vya ujenzi zaidi ya kutumia bidhaa halisi za Kitanzania kuonesha ana upendo na cha kwao.