Jimbo la ukonga ambalo mbunge wake ni mh jerry slaa lina miundombinu ya barabara ambayo ni mibovu labda kuliko majimbo yote ya Dar es Salaam.
Barabara ya banana- kitunda mashimo matupu.
Barabara ya mombasa hadi bombambili ni shida kubwa
Barabara ya kampala hadi bwera ni shida
Barabara ya majohe ni mashimo matupu pamoja na zingine kwa ufupi jimbo la ukonga halina barabara kabisa.
Hivi kweli jimbo hili lina mbunge na anakaa jimboni na anapita kwenye barabara hizi?
Inawezekana hataki kugombea tena ndio maana hajali maana hali ni mbaya.
Barabara ya banana- kitunda mashimo matupu.
Barabara ya mombasa hadi bombambili ni shida kubwa
Barabara ya kampala hadi bwera ni shida
Barabara ya majohe ni mashimo matupu pamoja na zingine kwa ufupi jimbo la ukonga halina barabara kabisa.
Hivi kweli jimbo hili lina mbunge na anakaa jimboni na anapita kwenye barabara hizi?
Inawezekana hataki kugombea tena ndio maana hajali maana hali ni mbaya.