Barabara ya Morogoro

Barabara ya Morogoro

Dr.Mboya

Member
Joined
Jul 13, 2012
Posts
25
Reaction score
7
Napenda kuwauliza wenzangu hivi Kwa tathimini yenu ndogo kweli itasaidia kupunguza foleni au ni shida tuu Leo nimekaa kwenye foleni masaa matatu.Mimi Kwa uelewa wangu nashauri magufuli awake flyover kwenye traffic light wananchi tunapata tabu sana jamani.
 
Napenda kuwauliza wenzangu hivi Kwa tathimini yenu ndogo kweli itasaidia kupunguza foleni au ni shida tuu Leo nimekaa kwenye foleni masaa matatu.Mimi Kwa uelewa wangu nashauri magufuli awake flyover kwenye traffic light wananchi tunapata tabu sana jamani.

Tatizo kila kitu kiko Posta au Kariakoo, maana hata ukitaka hata Fomu ya Brela tu mpaka uingie mjini, huduma zingegawanywa na foleni zingekwisha
 
Back
Top Bottom