Nipe Maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2025
- 335
- 190
Barabara ya Inyala - Simambwe yenye Kilomita 16.7 Mkoani Mbeya iliyojengwa kwa kiwango cha lami kwa shilingi bilioni 7.05 ikiwa mwaka wa pili sasa tangu kukamilika kwa ujenzi wake tayari imeanza kuwa na mashimo.
Kwenu TARURA. Je, ilistahili kujengwa kwa kiwango hiki cha kuwa na mashimo ndani ya miaka miwili tu au tumechezewa hapa?
Vipi baada ya miaka mitano barabara hii itakuwa na hali gani? Je, mnajenga barabara ili baadaye mje kuziba viraka?
Kwenu TARURA. Je, ilistahili kujengwa kwa kiwango hiki cha kuwa na mashimo ndani ya miaka miwili tu au tumechezewa hapa?
Vipi baada ya miaka mitano barabara hii itakuwa na hali gani? Je, mnajenga barabara ili baadaye mje kuziba viraka?