Barabara ya Ferry Kigamboni mpaka Kongowe

Barabara ya Ferry Kigamboni mpaka Kongowe

makamaka

Member
Joined
Dec 1, 2011
Posts
55
Reaction score
28
Wadau sijui ni Tanroad ama Tarura,tunaomba mtujuze kunani pale kwa dole,kipande kifupi hakizidi hata mita 130 kinachukua Takribani miezi mitatu kutengenezwa huku barabara imefungwa. Mnatuchepusha kwenye nyumba za watu mpaka kuta zao zinakaribia kudondoka. Hebu liangalieni suala hili.
 
Wadau sijui ni Tanroad ama Tarura,tunaomba mtujuze kunani pale kwa dole,kipande kifupi hakizidi hata mita 130 kinachukua Takribani miezi mitatu kutengenezwa huku barabara imefungwa. Mnatuchepusha kwenye nyumba za watu mpaka kuta zao zinakaribia kudondoka. Hebu liangalieni suala hili.
Mkuu nashukuru umeliona hilo,
 
Wadau sijui ni Tanroad ama Tarura,tunaomba mtujuze kunani pale kwa dole,kipande kifupi hakizidi hata mita 130 kinachukua Takribani miezi mitatu kutengenezwa huku barabara imefungwa. Mnatuchepusha kwenye nyumba za watu mpaka kuta zao zinakaribia kudondoka. Hebu liangalieni suala hili.
Ni uzembe tu
 
Back
Top Bottom