Nyakijooga
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 427
- 666
Barabara ya kutokea Chalinze kwa Mwarabu kuelekea Talawanda Sekondari hali ni mbaya kutokana na Daraja la Mbiki kuwa bovu, kila mara wananchi wanapata madhara ikiwemo kupoteza maisha, tunaiomba Serikali itanue daraja hilo pia waweke mitaro ya maji kwani mvua zikinyesha maji yanajaa barabarani.