Landed Property
Member
- Nov 17, 2011
- 40
- 7
Wadau, sina uhakika maana sijapata taarifa rasmi.
Kuna watu wamepita maeneo mbalimbali ya Kibamba Dar es Salaam (Majuma mawili yaliyopita) na kuweka alama zinazoonyesha hatari. Kuulizwa wamesema kuna barabara kubwa ya malori inategemea kupita eneo hilo kutokea Mbagala kuungana na Barabara ya Morogoro.
Maeneo waliyoweka hizo alama kwa kiasi kikubwa ni katikati ya makazi ya watu ambapo kama ni kweli ni nyumba nyingi sana zitaathirika.
Suala langu hapa ni kuweza kufahamu ukweli wa hili swala kutoka kwa anayefahamu hili.
Akhsanteee kwa msaada.
Kuna watu wamepita maeneo mbalimbali ya Kibamba Dar es Salaam (Majuma mawili yaliyopita) na kuweka alama zinazoonyesha hatari. Kuulizwa wamesema kuna barabara kubwa ya malori inategemea kupita eneo hilo kutokea Mbagala kuungana na Barabara ya Morogoro.
Maeneo waliyoweka hizo alama kwa kiasi kikubwa ni katikati ya makazi ya watu ambapo kama ni kweli ni nyumba nyingi sana zitaathirika.
Suala langu hapa ni kuweza kufahamu ukweli wa hili swala kutoka kwa anayefahamu hili.
Akhsanteee kwa msaada.