Nimbo nyingi za Tanzania zimejaa matusi yawe ya wazi wazi ama mafumbo ambayo huitaji muda kutafsiri mtunzi alimaanisha nini. Mfano ni wimbo unaopigwa kila sehemu na unaimbwa sana na watoto wadogo kwa sababu mtunzi amamhusisha mtoto mdogo na Baba , Mama , na Mahawara zake, |" BABA YULE---------' BABA----BABA HUYO!!!!!!? Wimbo huu theme yake BASATA hawajaona kuwa UNA CORRUPT MORAL ZA WATOTO?