jana nlitumiwa email interview tarehe 24/9/2013 mi nimeambiwa sa 11:30am. Check mail
Ina mana wewe hata commerce na bookeeping hukusoma olevel maana kwny commerce unafundushwa mambo ya bank mengi sana hadi account za benki zilivo kama umesoma bc utakua unaelewa mambo ya benk..hata mabank teller hua sio lazima wasomee ni kua na idea tu kuhusu mambo ya kibenki na transactions zinavokua..uchofu kapige interview hiyo mwambie aliekuunganishie akueleze inakuaje lakini as usual hesabu zitakuepo za jumlisha na toa.
Hivi unajua interview panelist wengi wapo hapa JF na kwa kuwa ushasema haufahamu kitu chochote kuhusu hio kazi and kwa vile umefanya kupigiwa deal hadi kuwa shortlisted naogopa kukwambia kupata kwako hii kazi ni sawa na Ngamia Kupenye Tundu la Sindano au Obama kufika kibarzani kwenu kunywa kahawa
Bongo hapa wengne tutaozea ktaa tu;Niliapply hapo kwa madaha ila THanks GOD sjapata email wala call;My day will come bado naendelea kukomaa mpaka waajiri watanichoka wao mi sichok hvo hvo hata maisha yang yote yaishie KUAPPLY TU.ALL THE BEST KWA MLIOITWA INTERVIEW KIHALALI NA MNAVIGEZO
najua mkuu mimi imani yangu nimeiweka kwa Mungu na si mwanadamu na Mungu akisema ndio hata binadamu apinge vipi haiwezi kuwa No.
Kazini kwetu HRM ni registered engineer!
I wish if i can give that chance to someone because so far am fighting my feelings weather to go for interview or not because its the last thing i want.
This is very bad image kwa kampuni, na wewe piaHabari wandugu..
Jamani naomba msaada wenu wanajamvi.
Nimeitwa kwenye interview Bank of Baroda post ya "Credit and Operations" na sina hata idea ya kitu cha banking na nimeunganishiwa tu hiyo kazi bila kujua. Naombeni msaada wenu kujua possible questions related to the post and a bank apart from the general questions.