Baniani Mbaya Kiatu chake Dawa

FRANK JOEM

Member
Joined
Jan 2, 2019
Posts
59
Reaction score
42
Ni miongoni mwa misemo ya kiswahili ( Metheli) ya wahenga sina uhakika kama karne hii yupo alie kuwapo kabla ya ujio wa methali hii nimefundishwa darasani kwa levo zote za elimu yangu na pia nimefundishwa na walimwengu nje ya darasa lakin bado tafsiri imekua tatizo kwangu tunatofautiana uelewa shusheni maana zenu mwalimwengu mwenzangu...!!!
 
Kazi nzuri assante sana mkubwa wangu Nimeng'amua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…