Bangi ihalalishwe

kidole007

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2012
Posts
3,094
Reaction score
1,876
Ni mtazamo

Uvutaji wa bangi si jambo geni vijana wengi wanavuta au wameshawahi kuvuta ukiachia mbali madhara ambayo watu wa afya wanasema yanaletwa na bangi (mengi si kweli) kama ulishawah kuvuta utakubaliana na mimi

Bangi haina addiction wala haijengi dependency, ukiikosa hupati alosto, bangi ina leta mood au inaongeza mood, huku kijijini kwetu wakulima wanapuliza bangi then wanaingia mzigoni, same way tulivokuwa tunatumia high school tunapata mood ya kupiga misuli

Haya madhara kama kupoteza kumbukumbu ni uongo mtupu na sijui hizo research walimfanyia nani?

Kwanza bangi inaongeza appetite mimi ningekuwa docta watu wanaosuffer na anorexia ninge kuwa na prescribe bangi halafu bangi navoelewa risk ya kupata sijui cancer yakoo au mapafu ni ndogo kuliko hizo tumbaku ambazo ni legal kabisa

Bangi ina fanya muscles zina relax, hakuna sijui ku athiri nguvu za kiume kama tumbaku

Kwa hiyo basi sioni sababu ya bangi kuwa illegal cha msingi serikali izuie madawa ya kulevya na bangi watu wavute hadharani kama sigara ili kutoweza kuwapa mwanya wale wanao changanya na heroin huko vichochoroni

 
Nakubaliana na wewe kabisa, linganisha matukio ya wanywa pombe na watumiaji wa bangi, walevi wa pombe kuanzia pombe za kiasili mpaka za Kiwandani akili sawa wakilewa wanakumbuka kungonoka, kupigana, kuongea kingereza hata kama kaishia standard zero. Vijiwe vya wavuta bangi all time viko cool hakuna bugudha hata kidogo ukiwakuta wasomi watajadiri vyema sana mustakabali wataifa na maendeleo yao kiujumla, kama ni mission town basi ninamnagani watapiga deal kutengeneza bingo
 

well said
 
umeskia wapi mtu kavuta bangi kapindua gari?
Au kafanya fujo hizo ni mentality tu mlizo zijengea mtu akitukana watu ovyo bila kuchunguza malezi yake mnakimbilia eti bangii

Hapo bado haijahalalishwa je ikihalalishwa tutaoa maoni hapa JF yakakubaliwa kweli!!! Kidole vuta bangi likiisha vuta na kidole chako.
 
Hapo bado haijahalalishwa je ikihalalishwa tutaoa maoni hapa JF yakakubaliwa kweli!!! Kidole vuta bangi likiisha vuta na kidole chako.


Either hujui hulisemalo au umekariri au vyote una link uvutaji wa bangi na uhalifu bangi

Bangi ina amplify mood na feeling wala haiwezi alter behaviour ya mtu wahalifu ni wahalifu tu with or without bangi
 
Kweli aisee an idle mind is a devil's workshop, funguka kamanda vipi kuhusu sembe? disapointed
 
Hivi bange ni lazima ivutwe tu ama yaweza kuliwa kama mboga? Nauliza tu maana nimeanza kushawishika ila kuvuta kunaweza kuwa kikwazo
 
Kaya: Bob Marley & marijuana bob Marley has always defended this often maligned herb. He equated condemnation of this natural herb with blasphemy. How could a plant created by God be made illegal by humans? "You mean they can tell God that it's not legal?" he once asked a Canadian journalist. If growing cannabis is to be a crime then by man's laws God who made all plants was a criminal too. Bob was not surprized that people who smoke the weed were persecuted by "Babylon", the ruling system, reminding people: "Them crucify Christ, remember?"
One of Marley's greatest hits, "I Shot the Sheriff" (which was made popular by Eric Clapton), describes the fate of a marijuana grower hunted by a fanatical law enforcement officer:
Sheriff John Brown always hate I,
for what, I never know.
Everytime I plant a seed,
he said, kill it before it grow.
He said, kill them before they grow.
Bob Marley was familiar with the issues. This first musical superstar from the Third World went to jail for marijuana, as did all three founding members of the Wailers. He smoked a lot of grass. Some people who know only about his untimely death and that he smoked marijuana would think that this might be evidence for the harmfulness of this plant.
 
Hivi bange ni lazima ivutwe tu ama yaweza kuliwa kama mboga? Nauliza tu maana nimeanza kushawishika ila kuvuta kunaweza kuwa kikwazo

Unaweza kuweka kwenye chakula chochote cake au vingine vyenye sukari kuongeza flavour but utachelewa kuwa high kama anae vuta coz anaevuta inaingia kwnye mapafu directely na ina kuwa absorbed na mishipa ya damu fast
 

fanatical law
enforcement sijui sababu ya kuiharamisha gomba hadi leo
 
I support Marijuana legalization in Tanzania....coz when people will be free in use peacefull atmosphere amoung user and government will gain revenue....tupingane na police wanaojipatia pesa kinyamera...
 
Bangi inasemwa tu vibaya lakini is very good kwa kweli, mi mwenyewe kabla sijaingia kuwapiga lecture vijana huwa lazima nipulize japo twenty minutes earlier...

Heee Mwenyekiti Baba V unapata ile kitu duh..!
 
Last edited by a moderator:
either hujui hulisemalo au umekariri au vyote una link uvutaji wa bangi na uhalifu
bangi ina amplify mood na feeling wala haiwez alter behaviour ya mtu wahalifu ni wahalifu tu with or without bangi

Kidole007 kwa kweli umeitetea "thesis" yako kwa nguvu zote. Ikiwa mtu huwa tayari kuuza hata nyumba ili apate hiyo nicotine si haba kuitetea kiasi hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…