Malunde-Malundi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 1,288
- 131
Yaani ni uozo kabisa kwa mnaokaa na kufanya kazi huko mnaweza kutuambia kama kuna ufanisi wa aina yoyote lakini bado uozo
A piece of advice. Lawama kwa TRA kwa sasa hivi hazina msingi. Ushuru wa magari yote unaufahamu wewe importer KABLA hata ya kuagiza gari. Calculator hiyo iko kwenye Website ya TRA, besides agent ana lodge hizo documents zako well before the arrival of the car ofisini kwake na siyo TRA, hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kutoa gari lako immediately kama ukifanya homework yako mapema. However watu wengi wanaoingiza magari wanakuwa victims wa service providers wao ambao huwaambia bila kutoa cho chote gari yako halitoki. Kuna mifano hai ambapo watu wamezungushwa na providers wao wakati magari yalishakuwa released about two weeks ago.Ndugu yangu hizi taasis zimeoza, nliagiza kagar kangu fr Japan dah mpaka kuitoa wamekula ela yang kibao, malipo ya ajab ajab, km una mzigo wako jaribu ata kukopa uutoe mapema, maana umo ndan kna vijana wez watang'oa kila kitu
Kinachogomba kwa hawa TRA ni utendandaji usiozingatia maadili hasa ukizingatia kuwa ni mojawapo ya sekta ya umma inayolipa Mishahara na marupurupu vizuri.Mambo yao mengi mazuri yako kwenye vipeperushi tu lakini utekelezaji ni kinyume.Wanafanya kazi zao kwa double standard.A piece of advice. Lawama kwa TRA kwa sasa hivi hazina msingi. Ushuru wa magari yote unaufahamu wewe importer KABLA hata ya kuagiza gari. Calculator hiyo iko kwenye Website ya TRA, besides agent ana lodge hizo documents zako well before the arrival of the car ofisini kwake na siyo TRA, hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kutoa gari lako immediately kama ukifanya homework yako mapema. However watu wengi wanaoingiza magari wanakuwa victims wa service providers wao ambao huwaambia bila kutoa cho chote gari yako halitoki. Kuna mifano hai ambapo watu wamezungushwa na providers wao wakati magari yalishakuwa released about two weeks ago.