The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Hongera na kazi wakuu,
Bandari ya Dsm imeendelea kufanya vizuri katika kuhudumia mizigo.
Mwezi desemba ilivunja rekodi yake kwa kuhudumia meli 98 kutoka meli 89 za Mwezi Novemba.
Huu Ni ufanisi ambao haijawahi tokea.Wadau wa Bandari wameioongeza TPA na Serikali ya awamu ya 6 kwa Kutoa Pesa za kununulia mitambo ya upakuaji na upakuaji iliyoongeza ufanisi wa Bandari.
Ikumbukwe pia Mwaka Jana , Bandari ya Dar iliweka rekodi ya kufikisha mapato Tilioni 1 kwa mwaka tofauti na hapo awali.
Hongera Sana kwa Serikali Ila endeleeni kukaza ili tuweze kufikia mizigo Tani mil.25 mwaka 2025 kutoka Tani mil.19 za Sasa na Bandari iweze Kuchangia zaidi Uchumi wa Nchi.
Mwisho mnyonge hanyongwi na haki yake anapewa huku anaona.Kudos Rais Samia.👇
Bandari ya Dsm imeendelea kufanya vizuri katika kuhudumia mizigo.
Mwezi desemba ilivunja rekodi yake kwa kuhudumia meli 98 kutoka meli 89 za Mwezi Novemba.
Huu Ni ufanisi ambao haijawahi tokea.Wadau wa Bandari wameioongeza TPA na Serikali ya awamu ya 6 kwa Kutoa Pesa za kununulia mitambo ya upakuaji na upakuaji iliyoongeza ufanisi wa Bandari.
Ikumbukwe pia Mwaka Jana , Bandari ya Dar iliweka rekodi ya kufikisha mapato Tilioni 1 kwa mwaka tofauti na hapo awali.
Hongera Sana kwa Serikali Ila endeleeni kukaza ili tuweze kufikia mizigo Tani mil.25 mwaka 2025 kutoka Tani mil.19 za Sasa na Bandari iweze Kuchangia zaidi Uchumi wa Nchi.
Mwisho mnyonge hanyongwi na haki yake anapewa huku anaona.Kudos Rais Samia.👇
