Haya mambo mgeyaongea leo mgeambiwa nyie sio WAZALENDO. Huu uzi una miaka 12, Britanicca kauchokonoa. Tanzania yetu hii, watasema mbona China wameendelea bila Kiingereza, na Mbona Urusi walifika mwezini bila kiingereza. Urgument zetu utasikia wajifunze wao ndio wanashida, hahahaha.