Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 817
Mindhali humu ndani watu ni mahiri wa kujadili mambo lakini naona its about time kama kweli watu wako serious na kutaka dunia ijue kinachoendelea Tanzania basi hatuna budi kujitahidi kufanya mijadala kwa KIINGEREZA
Serikali yetu haioni umuhimu wa haya mamabo ya Internet au hili lakini sisi hatuwezi kukaa kusubiri serikali.Sidhani kama hao watu wa EU au USA au TRANSPARENCY INTERNATIONAL watakuwa na muda wa kukaa kuanza kutafsiri haya ma dossier ya UFISADI yaliyoandikwa kwa kiingereza
Najua kuna watu watalalamika kuwa wao KISWAHILI ndio rahisi lakini ukweli ni kuwa DUNIA IKO CONNECTED kwa ENGLISH sasa tuache kujiongopea eti tuna impact na hawa wanatupa pesa za kuendesha nchi zetu
hilo ni wazo tuu kati ya mengi ambayo inabidi yafanyike ili JF iwe na impact ya kutosha nje ya nchi
Serikali yetu haioni umuhimu wa haya mamabo ya Internet au hili lakini sisi hatuwezi kukaa kusubiri serikali.Sidhani kama hao watu wa EU au USA au TRANSPARENCY INTERNATIONAL watakuwa na muda wa kukaa kuanza kutafsiri haya ma dossier ya UFISADI yaliyoandikwa kwa kiingereza
Najua kuna watu watalalamika kuwa wao KISWAHILI ndio rahisi lakini ukweli ni kuwa DUNIA IKO CONNECTED kwa ENGLISH sasa tuache kujiongopea eti tuna impact na hawa wanatupa pesa za kuendesha nchi zetu
hilo ni wazo tuu kati ya mengi ambayo inabidi yafanyike ili JF iwe na impact ya kutosha nje ya nchi
Balozi wa Marekani kujibu maswali moja kwa moja kupitia mtandao
Balozi Mark Green atajibu maswali kutoka kwa Watanzania kupitia mjadala wa moja kwa moja, kwa njia ya mtandao wa komputa, ambao umepangwa kufanyika Jumatatu Oktoba 29, 2007 kuanzia saa tisa mchana.
Katika kipindi hicho cha majibu na maswali, Balozi Green atajadili kuhusu msaada wa dola milioni 698 utakaosaidia kupunguza umaskini nchini Tanzania, ambao uliidhinishwa hivi karibuni.
Balozi Green amesema kuwa huenda maneno MCC na sheria ya Millennium Challenge yakawachanganya baadhi ya watu hapo mwanzoni, lakini baada ya muda kidogo, Watanzania watajifunza jinsi mpango huo unavyoweza kuleta tofauti kubwa kwatika maisha yao. Pindi mkataba mpya wa MCC utakapotiwa saini na Serikali ya Tanzania, utajenga ushirikiano wa karibu zaidi kati ya mataifa yetu mawili.
Mpango huo wa MCC uliotolewa na wananchi wa Marekani, ni mpango wa miaka mitano ambao lengo lake ni kupunguza umaskini, kuchochea kukua kwa uchumi, na kuongeza kipato cha wananchi kupitia uwekezaji maalum katika miundombinu ya sekta za usafiri, nishati na maji nchini kote Tanzania.
Ili uweze kujiandikisha kushiriki kwenye mjadala huu wa mtandao, tumia anuani yako ya barua pepe kuingia kwenye ukurasa wa tovuti ya http://webchat.state.gov.
Unaweza pia kuingia kwenye mjadala huo wa mtandao kupitia ukurasa wa tovuti yetu - http://tanzania.usembassy.gov.