technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,680
- 58,675
Kwa kila neno?Typing error hizo lakini ujumbe umefika
Exactly, he does not know the correct spellingSio typing errors, ni kwamba hujui correct spelling
ExactlyAmerica is loosing her credibility to condemn and worn other nations toward the issue of human rights we have seen how things are getting out of hands.
It started by police killing blacks innocent citizens and remember that in America people own wepons so people are using those guns to revenge to the white police.
There is no any other words to be used here then saying that this is a big shame to the Government .
Now its hightime for foreigner to move out of that country insteady of waiting until it became worse.
These peoples have to stop racism now or they will destroy the peace of their country.
Jadila mada mkuu kama umeepewaKwa kila neno?
Jadila, umeepewa ni nini?Jadila mada mkuu kama umeepewa
Jadiri mada hiyo sio exm ya kiswahiliJadila, umeepewa ni nini?
Sasa kwanini wasikemee yakwao mbona sijawasikia tangu watu wauawe ??Mleta mada unaelewa tofauti ya migogoro inayoundwa/kulelewa na serikali na ile inayotokea katika jamii huku serikali ikiiipinga na kuifanyia kazi?Unaweza kulinganisha mauaji yaliyotokea USA na kashfa ya Zanzibar? Unailaumu serikali ya Marekani kwa lipi hasa? Leo hii ndugu yako akiua basi wewe unapoteza uwezo wa kukemea mauaji yanayotokea kwingine? Strange logic!