Divele Dikalame
Member
- May 4, 2010
- 77
- 12
baada ya harakati zake kutaka aongezewe muda zaidi katibu mkuu wa wizara ya ujenzi balozi Herbert Mrango amabaye muda wake alioongzwa unaisha tarehe 1 mwezi ujao, sasa anahaha kutaka nafasi yake arithiwe na DAKTA Nshama badala ya naibu wake injinia Ndunguru. ni hatari sana sijui anachohofia ni nini kama ndunguru atapanda kuwa katibu mkuu.