Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,594
- 2,717
Walivaa uniform za kijani kama kawaida yao ? au walienda kwa kujificha ?.Nimewaona ndugu, majirani na marafiki wengi tuu tena wenye kadi za ccm msibani
Walivaa uniform za kijani kama kawaida yao ? au walienda kwa kujificha ?.Nimewaona ndugu, majirani na marafiki wengi tuu tena wenye kadi za ccm msibani
Nakumbuka walivyoteka msiba wa Teja Masogange bila aibuWalivaa uniform za kijani kama kawaida yao ? au walienda kwa kujificha ?.
Siku moja huku kwetu (mikoani) palitokea msiba wa mtu mmoja mwanaccm, yaani nilishangaa jinsi walivyojazana pale, na unajua uzombie walionao, walianza kuonesha uchama, nilitamani kuwafukuza.Nakumbuka walivyoteka msiba wa Teja Masogange bila aibu
Huyu mzee ana huruma sana na huwa hapendi dhuluma.View attachment 1314435
Kwa Kadri ya macho yangu kuanzia nyumbani, kanisani Chang'ombe hadi kwenye nyumba ya milele Bukoba, huyu ndiye mwana CCM pekee niliyemuona akishiriki msiba huu.
Bila shaka wana CCM wengine walipata udhuru uliosababisha wasionekane na naamini walishiriki msiba huu kiroho na labda waliomba dua za kimya kimya kama desturi zetu zilivyo.
Inshaallah Mwenyezi Mungu azipokee dua zao, Amina.
Ulikuwa ukiuliza uanachama wa kila m2 aliyehudhuria msibani hapo?View attachment 1314435
Kwa Kadri ya macho yangu kuanzia nyumbani, kanisani Chang'ombe hadi kwenye nyumba ya milele Bukoba, huyu ndiye mwana CCM pekee niliyemuona akishiriki msiba huu.
Bila shaka wana CCM wengine walipata udhuru uliosababisha wasionekane na naamini walishiriki msiba huu kiroho na labda waliomba dua za kimya kimya kama desturi zetu zilivyo.
Inshaallah Mwenyezi Mungu azipokee dua zao, Amina.
wewe ni mnafiki tu huna lolote haiwezekani awe pekeyake ccmulipofuatilia hadi kufikia muda huu unadhani bado wanazo kadi za ccm ?
Naungana mkono na wewe, kuna mdau mmoja hapo chini ame comment kwamba eti 'hii mada ya kijinga ya 2020", naamini katika kukubali ukweli hata kama unauma, ccm ina wachawi wengi sanaNimewahi kusema humu kuwa viongozi wa ccm na wanachama wao wamekuwa kama Wake wenza was mwenyekigoda mwenyewe.
Kila watendalo kabla wanajiuliza jee atafurahi au atachukia?
Jee wake wenzangu wakiniona watamuambia au watakausha?
Sasa Kabendera amekamatwa na "kuteswa" kwa sababu ya kalamu yake kuandika ubovu wa mwenyekigoda na haya mengine ya DPP anayoshtaki ni funika kombe tuu, sasa kwenda msibani waweza kuhisiwa unaunga mkono aliyo andika Kabendera.
Ni wanaccm kama Kagasheki, Mwandosya,Membe na wengine wachache ndio wana guts za kusimama kwenye ukweli tuu.
Wengine wote kuanzia Dr Bashiru kuja chini ni wake wenza tuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
nionyeshe mwinginewewe ni mnafiki tu huna lolote haiwezekani awe pekeyake ccm
😆😆😆😆 Sasa mkuu si ungeweka namba ya simu basi ili uonekane upewe japo UDC ! unashindwa hata na Jerry Murro , Mhalifu aliyekamatwa na pingu ?Jamaa naonà umeanza kuchanganyikiwa na toka akili zako zote umkabidhi DJ unaandika bila kutumia ubongo. Ulitaka hào wanaCCM wavae kijani ili ujue wameenda wengi?
Leo 7/1/2020 iandikwe kwenye historia ya JF kama siku màda ya kijinga ya Kwanza kutolewa na mwanaJF toka mwaka uanze