Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,296
- 217,300
Kwa Kadri ya macho yangu kuanzia nyumbani, kanisani Chang'ombe hadi kwenye nyumba ya milele Bukoba, huyu ndiye mwana CCM pekee niliyemuona akishiriki msiba huu.
Bila shaka wana CCM wengine walipata udhuru uliosababisha wasionekane na naamini walishiriki msiba huu kiroho na labda waliomba dua za kimya kimya kama desturi zetu zilivyo.
Inshaallah Mwenyezi Mungu azipokee dua zao, Amina.