Balozi Dkt. Slaa atoa somo

Dr kasoma ulaya, kaishi ulaya muda mrefu nadhani kuliko kiongozi yeyote pale Chadema; nina hakika hiki anacho kisema sasa hivi sio kwamba kajifunza kwasababu ya kazi yake ya ubalozi aliyonayo sasa, mfano ni huo wa Gwantanamo alioutolea, Gwantanamo ilishika kasi Zaidi kipindi akiwa active nationalist in this country kuliko sasa, Gwantanamo ya sasa sio ile ya Enzi za Bush Jr na Obama, GWantanamo ya sasa iko poa kidogo kuliko ile so aliijua vizuri sana those days wakati anatuhutubia aliokua akihutubia. Anyway, labda swali tu kwake; Hivi Gwantanamo ilikua inatesa Wamarekani eti eeh? Jibu ni No, ilikua inatesa raia wa nchi zingine na sio MArekani kutesa raia wake mwenyewe so mfano wake haufanani, alete mwingine.
 

Nakumbuka ule usemi wake akiwa Chadema,kwamba "nchi haita tawalika",madaraka raha sana.
 
hakuna cha kujifunza kutoka kwa wanafiki.

Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi inazuiliwa na wazungu??
Mlipewa fursa ya kupata katiba mpya mkaichezea,mlibishana hata kuweka nukta tu kwenye vifungu vya katiba
Sasa ajenda ni viwanda labda aje rais mwingine
 
Kuendelea kutegemea Wazee tukizani kwamba wanaweza kulisogeza taifa mbele ni weu
 
Mlipewa fursa ya kupata katiba mpya mkaichezea,mlibishana hata kuweka nukta tu kwenye vifungu vya katiba
Sasa ajenda ni viwanda labda aje rais mwingine
Yes viwanda vya akina Azory Gwanda, Ben Saanane, Mawazo nk.
 
Unachoongea ni kweli kabisa..Marikali watu weusi wanavunjiwa HAKI ZAO za KIBINADAMU kama hapa Tanzania kwetu ..ila kwa kiasi kikubwa wanaofanya hivyo wanakamatwa hata kama ni watumishi wa Vyombo vya Usalama na kushtakiwa na hatua kuchukuliwa. Labda katofauti kadogo kwetu ni kuwa hakuna hatua zinazochukuliwa yakitokea kama ya Marekani..tunauwana na kutekana bila kuhojiana kabisa. Nauhakika hilo tutarekebisha hasa kwa wapinzani wetu..
 
Slaa hana kitu ni mnafiki mkubwa. Ni mtu wa kupuuzwa tu. Tangu lini ameona ccm inafaa. He is very bogus.
 
Slaa hana kitu ni mnafiki mkubwa. Ni mtu wa kupuuzwa tu. Tangu lini ameona ccm inafaa. He is very bogus.

Mkuu umeandika utadhani umekasirishwa. Vipi Dkt Slaa anaweza kuwa sababu ya kuwakosesha safari ya matumaini 2015?
 
Huyu mzee tumunee huruma mpaka ananunuliwa na ccm Nyumba yake ya bweni ilikuwa imeshauzwa na bank Sasa asipofanya kazi ya kusema uongo nyuma na kula atapata wapi?
 
Hivi hili lijamaa si lilienda Marekani kisa tu alinyimwa kugombea urais. Msikilizeni mie nishapunguza volume
 
Huyu mzee tumunee huruma mpaka ananunuliwa na ccm Nyumba yake ya bweni ilikuwa imeshauzwa na bank Sasa asipofanya kazi ya kusema uongo nyuma na kula atapata wapi?


Jaribu kupata utulivu, ili uweze kuandika vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…