he! Kwahiyo unatueleza ili tufanyaje?
.......unajipwinya kivazi......
Ili na wewe uvae kama huyo dada halafu ukatize mitaa ya tandale, mwenge stendi au kariakoo ujionee utakavyojizolea mashabiki.
Kwema, dah jamani nimepiti Mwenge leo jioni nimekuta kituko cha mwaka.
Dada amefungasha kwelikweli (sikumpiga picha)sababu za usalama.
Amefungasha kiasi kwamba anashindwa kutembea vizuri, hali iliyofanya wahuni kumzunguka na kumpigia kelele.
Nawasilisha
Kwema, dah jamani nimepiti Mwenge leo jioni nimekuta kituko cha mwaka.
Dada amefungasha kwelikweli (sikumpiga picha)sababu za usalama.
Amefungasha kiasi kwamba anashindwa kutembea vizuri, hali iliyofanya wahuni kumzunguka na kumpigia kelele.
Nawasilisha