BAJETI YA MAENDELEO 2016/2017 CHINI YA CCM MPYA IMECHEMKA NI ASILIMIA 34%

Euphransia

JF-Expert Member
Jan 26, 2017
937
778
Bajeti ya Maendeleo ya 2016/2017 Chini ya CCM Mpya imechemka Serikalini imeshindwa kuitekeleza .Bajeti hiyo imetekelezwa Kwa Asilimia 34 tu.Maswali ya kujiuliza ni mengi ikiwa ni pamoja Na CCM kushindwa kuisimamia Serikali yake ili iwaletee Maendeleo wanyonge walipa Kodi wa nchi hii.
 
Mkuu ni kweli hii bajeti ya Maendeleo ya 2016/17 IMEFELI na hii ya 2017/18. ndio ITAFELI kabisa.

Suala ni moja tu... GOOD GOVERNANCE.. UTAWALA BORA.

Nchi zote karibia za third World bajeti zao hasa zile za Maendeleo huwa zinakuwa supported na Donors.

Sisi Tanzania tumefeli kwenye aspect ya Utawala Bora.

Nchi hii kwa sasa haiheshimu kabisa Good Governance kuanzia issue ya Uchaguzi wa Zanzibar, issue ya Cyber Crime Act iliyopitishwa kitemi bungeni, kuZuia demokrasia kufanyika kwa usawa miongoni mwa vyama vya siasa vyote hivi serikali imekataa kuviheshimu.

So donor Countries zote zimeweka ngumu hakuna hela kutoka.

Dkt Philip Mpango Waziri wa Fedha amezurura Marekani na Ulaya yote hajapata kitu.. Wamegoma.

And that's why kwa sasa tuna hali ngumu sana kwenye sekta ya Afya maana hii ndio ilikuwa inapata support kubwa kutoka kwa donors kuanzia vifaa tiba mpaka madawa.

Hali itakuwa ngumu sana this time.
 
Majambazi ya ccm na serikali yake ikiongozwa na phd hewa na kuzungukwa na waizi wa majina bashite fa fa fa fa unategemea maendeleo kutoka kwa hawa ziro.


Swissme
 
Back
Top Bottom