Hivi Tanzania haiwezi KABISA kuandaa bajeti na kuendesha nchi bila kutegemea VILEVI (POMBE) na SIGARA????? NI AIBU SANA MAANA TUNA MALIASILI NYINGI SANA ZINAZOTOSHA KUENDESHA NCHI BILA YA KUHITAJI VILEVI. Kazi tunayojua ni kuuza wanyama/madini kwa kutegemea mrahaba wa 3% na ufisadi tu.
Ni aibu