Bajeti ya 2016/2017 ya trilioni 29 bado miezi 3. Je, itakamilika kwa asilimia ngapi?

Euphransia

JF-Expert Member
Jan 26, 2017
937
778
Bajeti ya 2016/2017 Bunge la Bajeti chini ya CCM lilipitisha bajeti ya Tirioni 29 Kwa ajili ya matumizi Na maendeleo.Imebaki miezi 3 bajeti hiyo ikamilike.Binafsi sidhani bajeti hiyo itakuwa imetekelezwa hata Kwa asilimia 50.Je tatizo ni nini?
 
Kwa maelezo ya CAG asilimia kubwa ya idara za serikali zimepelekewa fedha kati ya 16% na 40% hii maanaa yake budget za maendexleo ambayo ni 40% ya budget yote itakuwa haijafikishwa ama imefikishwa kwa kiasi kidogo sana

Pia kwa maelezo yake kuna baadhi ya idara zimepewa 230% maana yake zimepewa zaidi ya kiasi kilichopitushwa na bunge. Hili nalo ni kosa kisheria
 
Kwa maelezo ya CAG asilimia kubwa ya idara za serikali zimepelekewa fedha kati ya 16% na 40% hii maanaa yake budget za maendexleo ambayo ni 40% ya budget yote itakuwa haijafikishwa ama imefikishwa kwa kiasi kidogo sana

Pia kwa maelezo yake kuna baadhi ya idara zimepewa 230% maana yake zimepewa zaidi ya kiasi kilichopitushwa na bunge. Hili nalo ni kosa kisheria

Ni jambo la kushangaza sana.
 
Pesa zimetumika kuwafunga wapinzan km Lissu na lema.
Sipati picha 2019 ccm watakavyo pwaya. Watakuwa na shida hawa watu. Mpaka sasa wanaruka ruka tu
 
Katika bajeti hii kuliahidiwa ajira 72,000 lakini mpaka sasa sidhani hata 10,000 kama zimefika, kwa upande huu bajeti haijafika kile kilichoahidiwa.
 
Bajeti ya 2016/2017 Bunge la Bajeti chini ya CCM lilipitisha bajeti ya Tirioni 29 Kwa ajili ya matumizi Na maendeleo.Imebaki miezi 3 bajeti hiyo ikamilike.Binafsi sidhani bajeti hiyo itakuwa imetekelezwa hata Kwa asilimia 50.Je tatizo ni nini?
Vipaumbele au kwa lugha ya malkia 'priorities' na hii si tu kwa maandishi bali kwa vitendo hatufanyi mambo kwa priorities, uamuzi wa bigboss ndo kila kitu
 
Tatizo ni kujiona wewe ni genius. Tukubali baraza la mawaziri chini ya mkuu wa wakuu hawako huru na hawatumii utashi wao katika maazimio na mawazo yao. Zaidi ya wizara ya ujenzi hakuna wizara nyingine iliyoweza kujitutumua katika kufanya yaliyopaswa kufanywa. Mkulu amefanya/ anafanya mengi nje ya utaratibu na hakuna mshauri wa waziri wala chombo chochote kilichotamka neno. Ikiwa kauli ya rais ni sheria mahakama na bunge zina uwezo wa kupinga ila wote wamekuwa watu wa ndiyo mkuu. Hata hii bajeti ya mwaka huu nayo ni kudanganyana tu.
 
People's power
Ndugu wananchi tumekuwa tukipambana ktk kuikomboa Tanzania kiuchumi, kisiasa na Kijamii.
Watanzania wenzangu ni muda wa mabadiliko. Tanzania tunakabiliwa na maadui 4 wa maendeleo nao ni ccm, ujinga, maradhi na umasikini.
-Wananchi ccm ni mzigo na kimeshazeeka na hakifao kuwepo madarakani.
Angalien watoto wenu mnaowategemea wamefutiwa ajira, je huyo raisi ana nia ya dhati kweli kuikomboa Tanzania? Chagua Chadema kwa Maendeleo yenu
Ajira za serikali zitakuwa zinatolewa mwezi wa 1 kwa kila mwaka tutaajiri watu weng sasa. Mkichagua Ccm mtabaki hiv hiv hakuna ajira. Huyo mnayemsifiwa kafuta ajira na hatoajiri. Nani kaajiriwa mpaka sasa?
-Suala la mikopo kwa wanafunzi limekuwa ni kilio, watoto wengi wanatoka ktk familia za chini. Onen watoto wenu wapo nyumbani sasa hivi na wamekosa mwelekeo kbsa. CHADEMA TUTATOA 50% KWA KILA MWANAFUNZI ANAYEINGIA CHUONI
-Suala la HELSB 15% tutarudisha ktk asilimia za mwanzo 8% na hii italeta haueni kwa wafanyakazi.
PEOPL'S POWER
Jaman ndugu wananchi increment zenu meshapewa? Nilishangaa sana watu weng bado wanakimbizana na chama kilichozoeeka na chenye mawazo ya kimasikini. !eo hii ni october 25, 2019 bado hamjapewa increment, hamjapandishwa madaraja. Polen sana kwa uhakiki wa wapiga dili wa ccm. CHAGUA CHADEMA KWA MAENDELEO YAKO
Walimu poleni sana kwa kupigishwa deki, huu uuonevu mnabid muukomeshe kwa kuichagua chadema. People's power
Huyo mliyemchagua kafanya nn mpaka sasa hivi?
Suala la vyeti feki siyo kama tunashabikia ila tunataka haki itendeke. Iweje wengine wafukuzwe lkn yy alindwe.
Ona sasa sukari mnanunua 1 kilo kwa 3,000.
Wanakagera mpoooooooooooooooooooo
"BILA KUMUONDOA ADUI WA MAENDELEO CCM MTAENDELEO KULIA KILA SIKU. HUYO MSEMA KWELI MPENZ WA MUNGU MBONA KADANGANYA UMMA? MWEZI MMOJA AU MIWILI UNA SIKU NGAPI? WATANZANIA MEJICHANGANYA SANA NA HII DHAMBI ITAWATAFUNA MPAKA KESHO KUTWA.
Najaribu tu Wala usiogope mwanaccm. 2019 itakuwa poa sana.
 
trilioni 29 ilikua mbwembwe tu na kutaka sifa, sidhani hata trilioni 18 itafika, ni usanii mtupu, rejea kauli ya CAG
 
Ndgu zangu,hapa kuna tatzo moja,kama tunavyijuoa bunge linapitisha bajet,serikali inatakiwa itawanye fedha kwa mjibu wa bajet,ila tatzo mkuu wa kaya yy ndo amekuwa main distributor of money,paspo kuangalia bajet elekezi inasemaje,kimsingi tuneona ambavo amekuwa akifanya,sasa unatawanya pesa za umma CAG humpi inayotakiwa unadhani ww unauwwzo wa kuaccess kila pahala?mikwara,vitisho,na ukorofi havifanyi watu wasikupige ebu jiulize km n kweli huyo katibu mkuu ofis ya waziri mkuu km angesikia bit zako angefanya uliyosema unamfukuza apishe uchunguzi,mkuu hacha kila muhimili utimize wajibu wake ww km unagawa gawa zako za ikulu maana unazo za kutisha hapo
 
Jana nimesoma gazeti,mkaguzi mkuu wa mahesabu anasema mpaka muda huu bado kama miezi miwili,baadhi ya wizara na idara zimepewa asilimia 18 ya bajeti iliyopitishwa

Yaani katika shilingi 1000,wamepewa shilingi 180

Ni kichekesho kikubwa sana
 
Hizi ndio hoja za kujadili, lkn uzi huu utakuta bakuna wachangiaji ila wa bashite sasa!

Taifa la vilaza.
Taifa la vilaza limejengwa na chama chako cha kijani..... kumbuka tangu tumepata uhuru ni nyie mliompewa jukumu la kuendeleza hili taifa... na ukilaza uko related na shule... maana yake ccm imeshindwa kutupa watz elimu bora ndo maana tumebaki kuwa taifa la vilaza kama unavo sema....
 
Ndgu zangu,hapa kuna tatzo moja,kama tunavyijuoa bunge linapitisha bajet,serikali inatakiwa itawanye fedha kwa mjibu wa bajet,ila tatzo mkuu wa kaya yy ndo amekuwa main distributor of money,paspo kuangalia bajet elekezi inasemaje,kimsingi tuneona ambavo amekuwa akifanya,sasa unatawanya pesa za umma CAG humpi inayotakiwa unadhani ww unauwwzo wa kuaccess kila pahala?mikwara,vitisho,na ukorofi havifanyi watu wasikupige ebu jiulize km n kweli huyo katibu mkuu ofis ya waziri mkuu km angesikia bit zako angefanya uliyosema unamfukuza apishe uchunguzi,mkuu hacha kila muhimili utimize wajibu wake ww km unagawa gawa zako za ikulu maana unazo za kutisha hapo
Ugawaji wa pesa kwa utaratibu wa mkuu unafanya baadhi ya taasisi zisizo kuwa usoni kwake kuto pewa kipaumbele kabisa.... mfano kuna kazi za ujenzi wa baadhi ya taasisi na wizara ulianza tangu 2012/13... umesismama kabisa na wakandarasi wako site kwa muda wote huo maana pesa haiendi kabisa... sio kipaumbele chake kwa sasa.... kwa nn asingemaliza hizi kazi za zamani maana ziko kimkataba na kuanza upya kwa utaratibu wake wa kuwatumia TBA... watu wanakufa kwa pressure, mabank yanadai.... wakandarasi wanafirisika na kupoteza mitaji
waliyo ijenga kwa miaka... watoto hawaendi shule.... na ni watz wanao teseka zaidi....
 
...viwanda kila mahali, mkoa wa Pwani tu nasikia una viwanda zaidi ya 897 tena vikubwa na hapo hujaenda Dar!
 
People's power
Ndugu wananchi tumekuwa tukipambana ktk kuikomboa Tanzania kiuchumi, kisiasa na Kijamii.
Watanzania wenzangu ni muda wa mabadiliko. Tanzania tunakabiliwa na maadui 4 wa maendeleo nao ni ccm, ujinga, maradhi na umasikini.
-Wananchi ccm ni mzigo na kimeshazeeka na hakifao kuwepo madarakani.
Angalien watoto wenu mnaowategemea wamefutiwa ajira, je huyo raisi ana nia ya dhati kweli kuikomboa Tanzania? Chagua Chadema kwa Maendeleo yenu
Ajira za serikali zitakuwa zinatolewa mwezi wa 1 kwa kila mwaka tutaajiri watu weng sasa. Mkichagua Ccm mtabaki hiv hiv hakuna ajira. Huyo mnayemsifiwa kafuta ajira na hatoajiri. Nani kaajiriwa mpaka sasa?
-Suala la mikopo kwa wanafunzi limekuwa ni kilio, watoto wengi wanatoka ktk familia za chini. Onen watoto wenu wapo nyumbani sasa hivi na wamekosa mwelekeo kbsa. CHADEMA TUTATOA 50% KWA KILA MWANAFUNZI ANAYEINGIA CHUONI
-Suala la HELSB 15% tutarudisha ktk asilimia za mwanzo 8% na hii italeta haueni kwa wafanyakazi.
PEOPL'S POWER
Jaman ndugu wananchi increment zenu meshapewa? Nilishangaa sana watu weng bado wanakimbizana na chama kilichozoeeka na chenye mawazo ya kimasikini. !eo hii ni october 25, 2019 bado hamjapewa increment, hamjapandishwa madaraja. Polen sana kwa uhakiki wa wapiga dili wa ccm. CHAGUA CHADEMA KWA MAENDELEO YAKO
Walimu poleni sana kwa kupigishwa deki, huu uuonevu mnabid muukomeshe kwa kuichagua chadema. People's power
Huyo mliyemchagua kafanya nn mpaka sasa hivi?
Suala la vyeti feki siyo kama tunashabikia ila tunataka haki itendeke. Iweje wengine wafukuzwe lkn yy alindwe.
Ona sasa sukari mnanunua 1 kilo kwa 3,000.
Wanakagera mpoooooooooooooooooooo
"BILA KUMUONDOA ADUI WA MAENDELEO CCM MTAENDELEO KULIA KILA SIKU. HUYO MSEMA KWELI MPENZ WA MUNGU MBONA KADANGANYA UMMA? MWEZI MMOJA AU MIWILI UNA SIKU NGAPI? WATANZANIA MEJICHANGANYA SANA NA HII DHAMBI ITAWATAFUNA MPAKA KESHO KUTWA.
Najaribu tu Wala usiogope mwanaccm. 2019 itakuwa poa sana.
Kwanza jiulize, chadema ruzuku yote inaenda wapi?
Hata kiofisi mmeshindwa kujenga! Ndo mpewe hazina?
Huo sasa utakuwa upunguani!
Watanzania wanajitambua, hawawezi kufanya kamali ya namna hiyo
 
Back
Top Bottom