RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
Tunaelekea Wapi watanzania Jamani. Kuna Mbunge jana wa CCM mwanamke amesema hayo.. Hivi mwananchi hapo kweli ataweza kununua Tunda kweli ingawa mkulima ndo anafaidika. Parachichi sa hivi ni 700/= huku kwetu.
Wawekezaji watatuua jamani. Halafu watu bado wanashangilia bajeti
Wawekezaji watatuua jamani. Halafu watu bado wanashangilia bajeti