Bajeti 2019/2020

Sidhani kama anahitaji kura ya mbongo yeyote. Akiutaka uraisi ataupata tu. Lakini hata kama uchaguzi huru utafanyika, kwani hamuwajui wabongo? Mara ya kwanza hata kabla hajachukua form ya kugombea alishawahi kuahidi akipata uraisi wabongo watalimia meno na bado wakamchagua ili walimie meno kwa bidii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…