Sidhani kama anahitaji kura ya mbongo yeyote. Akiutaka uraisi ataupata tu. Lakini hata kama uchaguzi huru utafanyika, kwani hamuwajui wabongo? Mara ya kwanza hata kabla hajachukua form ya kugombea alishawahi kuahidi akipata uraisi wabongo watalimia meno na bado wakamchagua ili walimie meno kwa bidii