Kassim Awadh
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 884
- 187
Kwanini Serikali ya CCM imekuwa ikipuuza/kataa maoni mbalimbali yanayotolewa ya kuachana na matumizi ya magari haya VX's Shangingi ili kupunguza matumizi yake na walau iokoe pesa kwa ajili ya madawa na vifaa mahospitalini, mishahara na posho za walimu nk?
Je, inawezekana ni masharti ya wafadhili "in turn" tuendelee kuwa wateja wa magari yao au ni ile tu Kusikia kwa Kenge mpaka damu itoke masikioni?
Je, inawezekana ni masharti ya wafadhili "in turn" tuendelee kuwa wateja wa magari yao au ni ile tu Kusikia kwa Kenge mpaka damu itoke masikioni?