iamriq_arthur
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 377
- 884
Guys, hivi juzi nilikuja na uzi wa kuibiwa bajaj yangu, leo bajaj nmeipata baada ya kumpeleka mdhamini mahakamani na mwizi wa bajaj akaamua kuitelekeza mahala na kupiga simu akatoa location sehemu alipoiacha bajaj, nimefatilia sehemu hiyo mpaka kufika, nimekuta bajaj imeshachakaa sana, imeshakua mbovu na haiwaki.
Inshort ni kuwa inahitaji service ya hali ya juu sana mpaka iweze kurudi kwenye uhafadhari.
Naombeni ushauri wenu, niendelee kudeal na mdhamini wake ambae ni mama yake ili aweze kugharamia service ya hii bajaj.? Ama nifanye nini?
=========
Soma Pia: Naipataje Bajaj yangu iliyoibiwa
Inshort ni kuwa inahitaji service ya hali ya juu sana mpaka iweze kurudi kwenye uhafadhari.
Naombeni ushauri wenu, niendelee kudeal na mdhamini wake ambae ni mama yake ili aweze kugharamia service ya hii bajaj.? Ama nifanye nini?
=========
Soma Pia: Naipataje Bajaj yangu iliyoibiwa