Bajaj ya mizigo ila uendeshe mwenyewe.. Ukila vichwa viwili vya elfu 20-20, unafunga kazi.. Bajaj ya abiria mpaka upate Tsh elfu 40, lazima uwe umebeba abiria 80 wa Tsh 500.
Bajaj ya mizigo ila uendeshe mwenyewe.. Ukila vichwa viwili vya elfu 20-20, unafunga kazi.. Bajaj ya abiria mpaka upate Tsh elfu 40, lazima uwe umebeba abiria 80 wa Tsh 500.
Bajaj ya mizigo ila uendeshe mwenyewe.. Ukila vichwa viwili vya elfu 20-20, unafunga kazi.. Bajaj ya abiria mpaka upate Tsh elfu 40, lazima uwe umebeba abiria 80 wa Tsh 500.