Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwekeze ml7 au 5 ukapigwe na upepo?c bora ubadili biashara tuBajaj ya mizigo ila uendeshe mwenyewe.. Ukila vichwa viwili vya elfu 20-20, unafunga kazi.. Bajaj ya abiria mpaka upate Tsh elfu 40, lazima uwe umebeba abiria 80 wa Tsh 500.
uwekeze ml7 au 5 ukapigwe na upepo?c bora ubadili biashara tu
Nimekubali mkuu uko vizur,vipi ulishawahi kuifanya auBajaj ya mizigo ila uendeshe mwenyewe.. Ukila vichwa viwili vya elfu 20-20, unafunga kazi.. Bajaj ya abiria mpaka upate Tsh elfu 40, lazima uwe umebeba abiria 80 wa Tsh 500.
Tusikatishane tamaa jamaniuwekeze ml7 au 5 ukapigwe na upepo?c bora ubadili biashara tu
Hata mimi nimecheka sana yaani humu kuna mabingwa wa kupindua pindua madaJf rahaa mnajua kukatisha watu tamaa hatari daah