Bajaji ampiga pasi Benzi!!!

naam,longi time!si unaona hata namba yake yenyewe, ATC litakuwa mali ya shirika la ndege la tanzania!!!
Mkuu Zamaulid nadhani hoja yako haijafanyiwa utafiti wa kutosha.

Nafikiri umeshawahi kuona gari zenye Plate No. series ya B (i.e BBA, BDC etc) ni vimeo hata kimeo chenyewe kimesingiziwa. Kama bado hujafanya utafiti tunaweza kukusaidia.
 
Huko kwenye uvungu wa engine mbona kuna kama pipa hivi?.......... :A S 39::A S 39::A S 39:
 
Mkuu mwanza ni kunusa,route za dar-songea unapanga safari saa4,saa 6 unasepa saa 3 usiku uko songea
mafuta inakula fresh,rough road iko strong,haijawahi kufunguliwa engine,mileage elf 90.

Unauza nin mkuu?maana naona umelipa sifa zake kabisa!
 
Huko kwenye uvungu wa engine mbona kuna kama pipa hivi?.......... :A S 39::A S 39::A S 39:
Modification ya sump protection, na ndio maana inaelekea bado linatamba barabarani hata baada ya miaka kumi bongo!
 
dar,ktu 190e hicho,cha longi kinoma yaani kinatumia kabuleta bado
 
halafu huyo jamaa mwenye benzi lazima atakuwa mchaga tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…