Mkuu Zamaulid nadhani hoja yako haijafanyiwa utafiti wa kutosha.
Nafikiri umeshawahi kuona gari zenye Plate No. series ya B (i.e BBA, BDC etc) ni vimeo hata kimeo chenyewe kimesingiziwa. Kama bado hujafanya utafiti tunaweza kukusaidia.
Mkuu mwanza ni kunusa,route za dar-songea unapanga safari saa4,saa 6 unasepa saa 3 usiku uko songea
mafuta inakula fresh,rough road iko strong,haijawahi kufunguliwa engine,mileage elf 90.