Baiskeli Za Wanafunzi Wa Secondary Zimewasili

Baiskeli Za Wanafunzi Wa Secondary Zimewasili

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,601
Reaction score
2,461
Baiskeli za Wanafunzi wa Secondary sasa zimewasili. Kwa wikii hii zimebaki baiskeli 50, na kila baiskeli inauzwa elf 90 tu. Baiskeli zina gear (automatic). Mikoani tunatuma pia. Piga 0713039875 kuwahi oda yako.Tupo Magomeni.
Baiskeli 95k 6.jpeg


Baiskeli 95k 3.jpeg


Baiskeli 95k 4.jpeg
 
zinanifaa hata mimi kuendea kazini na shughuri zangu nyingi tu, ngoja nikutafutie pesa yako uniagizie moja hiyo
 
Mbona unaziita automatic?

From JF App
 
Weka picha vizuri mkuu. Mbona umezipiga haraka haraka sana, zako kweli hizo?
 
😀 Mkuu zikiwa si zangu, ukinipigia ntakuuzia nini.Wahi moja

Weka picha zionekane, vizuri! Acha kuleta janja janja, au ni mikweche/mikangafu?
...watu wasije kupoteza muda bure kufika ofisini wanakutana na takataka!
 
Back
Top Bottom