GE2025 Baisa amechukua fomu kugombea nafasi ya ubunge Jimbo la Mtwara Mjini

GE2025 Baisa amechukua fomu kugombea nafasi ya ubunge Jimbo la Mtwara Mjini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara, Baisa Baisa amechukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge Jimbo la Mtwara Mjini.

Baisa, amekabidhiwa fomu hiyo leo Julai 1,2025 na Katibu wa CCM Mkoa wa Mtwara, Fadhili Ukasha

Soma pia:
baisa.png
 
Back
Top Bottom