Bagamoyo: Kabati la Mjerumani, halijawahi kufunguliwa kwa miaka 100, inadaiwa lina madini

Masseto

JF-Expert Member
May 14, 2020
1,594
3,114
Jana nilitazama kipindi cha mswahili wasafi tv nikaona hii habari ya makumbusho ya BADEKO uko BAGAMOYO, ndani ya jengo wakaonesha kuna kabati kubwa kiasi au MONEY SAFE lenye uzani wa tani 3 na halikuwai kufunguliwa kwa miaka zaidi ya 100 na inasemwa kuwa kuna madini.

ivi ni kweli tumeshindwa ata kutumia gesi tukalikata au tunasubiri adi hao vitukuu vya wajerumani waje wachukue mali zao ambazo wamechimba kwenye ardhi yetu kisha wasepe zao,

ivi ingekuwa mwafrika alitawala uko ulaya alaf akaacha kitu kama icho wazungu wangemsubir mwenye mali yake mwafrika adi arudi achukue.

kisingizio eti ni steel na wamehangaika sana na hawajafanikiwa kulivunja, huu ni upuuzi tunauacha utajiri sabab ya kuwaheshimu wazungu. this is nonsense adi jamaa anahakikisha kwamba humo kuna MADINI ila tunalishangaa shangaa tu kama picha
Screenshot_20220311-111215.jpg
 
mal
Jana nilitazama kipindi cha mswahili wasafi tv nikaona hii habari ya makumbusho ya BADEKO uko BAGAMOYO, ndani ya jengo wakaonesha kuna kabati kubwa kiasi au MONEY SAFE lenye uzani wa tani 3 na halikuwai kufunguliwa kwa miaka zaidi ya 100 na inasemwa kuwa kuna madini.

ivi ni kweli tumeshindwa ata kutumia gesi tukalikata au tunasubiri adi hao vitukuu vya wajerumani waje wachukue mali zao ambazo wamechimba kwenye ardhi yetu kisha wasepe zao,

ivi ingekuwa mwafrika alitawala uko ulaya alaf akaacha kitu kama icho wazungu wangemsubir mwenye mali yake mwafrika adi arudi achukue.

kisingizio eti ni steel na wamehangaika sana na hawajafanikiwa kulivunja, huu ni upuuzi tunauacha utajiri sabab ya kuwaheshimu wazungu. this is nonsense adi jamaa anahakikisha kwamba humo kuna MADINI ila tunalishangaa shangaa tu kama pichaView attachment 2146619
mali za Wajerumani unatakiwa ujipange ukienda kichwa kichwa unaweza kutana na balaaa!
 
Kwahio unaamini humo ndani hawajui kuna nini ?

Hio story ni nzuri na inazidi kuvutia watalii kwahio ni muendelezo wa hio story sasa wakisema limeshafunguliwa na tumekuta vumbi itakuwa sio kivutio tena..., pili kwa technology mtu huitaji kufungua ili kujua ndani kuna nini
 
Utalii kwa akili ya Mtanzania ni kitu cha ajabu ajabu. Kama Arusha unakuta gogo limepakwa polishi mtu anakwambia mil 12. Ukiuliza anakwambia limekaa kitalii...mambo ya kipuuzi tu
Kule Zanzibar kuna sehem inaitwa Jews corner kulikuwa na nguzo wamepachika zile simu za mezan wakaandika" International calls" alafu unakuta watalii wamesimamishwa hapo na tour guiders wanapewa maelezo kuhusu hiyo simu, unabaki kupita kimya kimya huku ukisikitika tu.
 
Kule Zanzibar kuna sehem inaitwa Jews corner kulikuwa na nguzo wamepachika zile simu za mezan alafu wakaandika" International calls" alafu unakuta watalii wamesimamishwa hapo na tour guiders wanapewa maelezo kuhusu hiyo simu, unabaki unapita kimya kimya huku ukisikitika tu.
Utalii wa kibongo miyeyusho tu. Wizi wizi tu hamna cha maana labda huko mbugani
 
Jana nilitazama kipindi cha mswahili wasafi tv nikaona hii habari ya makumbusho ya BADEKO uko BAGAMOYO, ndani ya jengo wakaonesha kuna kabati kubwa kiasi au MONEY SAFE lenye uzani wa tani 3 na halikuwai kufunguliwa kwa miaka zaidi ya 100 na inasemwa kuwa kuna madini.

ivi ni kweli tumeshindwa ata kutumia gesi tukalikata au tunasubiri adi hao vitukuu vya wajerumani waje wachukue mali zao ambazo wamechimba kwenye ardhi yetu kisha wasepe zao,

ivi ingekuwa mwafrika alitawala uko ulaya alaf akaacha kitu kama icho wazungu wangemsubir mwenye mali yake mwafrika adi arudi achukue.

kisingizio eti ni steel na wamehangaika sana na hawajafanikiwa kulivunja, huu ni upuuzi tunauacha utajiri sabab ya kuwaheshimu wazungu. this is nonsense adi jamaa anahakikisha kwamba humo kuna MADINI ila tunalishangaa shangaa tu kama pichaView attachment 2146619
Sasa unalalamika nini?
Kwani wewe hutaki hayo madini?

Wahi Fursa....acha kulalamika..

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu unahasira sana..😂
Sometimes tunachotwa tu akili vipi Kama hakuna madini maana halijawahi funguliwa!
Tunaamini vitu vya thamani ndio huwekwa kwenye kabati la aina hiyo (Money safe) lazima kutakuwa na vitu vya thamani humo ndani.
 
Back
Top Bottom