mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,642
sawa hashim rungwe tumekusikia
tulijua watu watajichanganya sana.
vyama vyote vikaa kuwaza upande wa mashariki mwa tanzania kama sehemu ya kuanzia harakati za mageuzi.lakini sisi tunaanzia magharibi.wakati nyinyi mnalala sisi tunawaangalia.hatimae tumeikamata kigoma,Ngara.sasa tunasonga kuja mashariki.tunaomba njia.mipango yetu ya kwanza ilikua samwel Ruhuza aka SAM ashinde jimbo la Ngara lakini Ntukamazina akachakachua.sasa hivi tunalenga kusini.kusini,sikia tunakuja sasa,2015 PATACHIMBIKA.roger.
iko Asia mashariki.Hivi Igunga iko upande gani, mashariki au magharibi?
Dah mahesabu yenu makali sana na ndio maana kila uchaguzi hesabu ya wabunge wenu waliochaguliwa hushuka!...tulijua watu watajichanganya sana.
vyama vyote vikaa kuwaza upande wa mashariki mwa tanzania kama sehemu ya kuanzia harakati za mageuzi.lakini sisi tunaanzia magharibi.wakati nyinyi mnalala sisi tunawaangalia.hatimae tumeikamata kigoma,Ngara.sasa tunasonga kuja mashariki.tunaomba njia.mipango yetu ya kwanza ilikua samwel Ruhuza aka SAM ashinde jimbo la Ngara lakini Ntukamazina akachakachua.sasa hivi tunalenga kusini.kusini,sikia tunakuja sasa,2015 PATACHIMBIKA.roger.
Kuna thread m oja nimei-post hapa JF kwenye jukwaa la hoja mchanganyiko,nikasema wanachama wanaojiunga sasa hapa JF tena kwa kasi walioanza wakati wa uchaguzi wa Igunga na mpaka sasa wengi wao ni janga kwa hii forum na mbaya zaidi kwa Taifa..Na sababu zangu zakusema hivi moja ya sababu nyingi nilizonazo ni hoja zao nyepesi na zisizo na tija,nimepata misukosuko kuwa mimi ni mbinafsi napinga watu wasijiunge hapa JF...........Haya ona hoja ya huyu jamaa aliyejiunga mwezi wa kumi....