Bado natafuta kazi

Bado natafuta kazi

Queen sasha

Member
Joined
Nov 9, 2016
Posts
17
Reaction score
18
Habari wanaJf Mimi ni msichana miaka 25 ninaelimu ya diploma natafuta kazi yoyote itakayonipatia kipato halali naishi Dodoma.Mimi ni binti mwaminifu na mungu ni shahidi juu ya hilo.naomba kazi yoyote kama

kuuza duka la bidhaa zozote jumla au rejareja
Supermarket,sheli au duka la vipodozi

Naimani nitapata msaada juu ya hili
 
Mpe mtaji basi mkuu.yeye ana shida
Ni ujinga kuomba upewe pesa ya kuuza vitumbua, anashindwa kuazima elfu 20, kwa braza, dada, mjomba, aunt, mama/baba mdogo akauza akapata faida akarudisha pesa yao??
 
Ni ujinga kuomba upewe pesa ya kuuza vitumbua, anashindwa kuazima elfu 20, kwa braza, dada, mjomba, aunt, mama/baba mdogo akauza akapata faida akarudisha pesa yao??
Mkuu inawezekana amekosa ndiyo maana anaomba kazi ili apate mtaji . anyway ngoja aje ajitetee mwenyewe nisije kumsemea mtu
 
Mkuu inawezekana amekosa ndiyo maana anaomba kazi ili apate mtaji . anyway ngoja aje ajitetee mwenyewe nisije kumsemea mtu
Huyu sasa atakuwa amekosa sifa ya kuumbwa binadam bora angeumbwa mbuzi ijulikane, mtu na elimu ya diploma unakosaje creativity ya kuanza small project kama hiyo??
 
Ni ujinga kuomba upewe pesa ya kuuza vitumbua, anashindwa kuazima elfu 20, kwa braza, dada, mjomba, aunt, mama/baba mdogo akauza akapata faida akarudisha pesa yao??
Kuhusu biashara ndogo nafanya lakini naona mahitaji ni mengi kuliko kipato
Huyu sasa atakuwa amekosa sifa ya kuumbwa binadam bora angeumbwa mbuzi ijulikane, mtu na elimu ya diploma unakosaje creativity ya kuanza small project kama hiyo??
Naomba nikuache maana dunia inamengi na mwenye shibe hamjui aliye nanjaa siwezi kukueleza matatizo yangu please kama wewe umepata usidharau wenzako
 
Mkuu inawezekana amekosa ndiyo maana anaomba kazi ili apate mtaji . anyway ngoja aje ajitetee mwenyewe nisije kumsemea mtu
Nafanya biashara ndogo ndogo lakini bado haijakidhi mahitaji yangu......asante wewe ni unautu
 
Kuhusu biashara ndogo nafanya lakini naona mahitaji ni mengi kuliko kipato

Naomba nikuache maana dunia inamengi na mwenye shibe hamjui aliye nanjaa siwezi kukueleza matatizo yangu please kama wewe umepata usidharau wenzako
Tukisema kila mtu aandike mapito yake utashangaa nakujiona unamkufuru Mungu kwa yote unayolalamikia, kuajiriwa hakika hakujawahi maliza matatizo ya pesa!

Badili mtazamo wako, tafuta kijipesa kidogo anza biashara, fanya research uuze vitumbua asubuhi na jioni uone kama hutapata zaidi ya laki 6 kwa mwezi. Shida yenu mnapenda mteremko mno mumezoea kuishi kwa pesa za wanaume.

Badirika mdada, jitume acha usister duu, tatizo lako unaangalia status yako badirika chapa kazi, hicho kijidiploma chako kisikutie kiburi mimi nauza genge na degree yangu vyeti nimetupa kapuni.
 
Tembelea zoom Tanzania jobs, ajira portal, ajira zetu, kijiwe cha wasomi blog etc mpaka kufika mwezi April utakuwa umepata kazi labda uwe hujui lugha ya kigeni ambayo hutumika kwenye usaili....All the best Mungu akutangulie .
 
Inshallah Mungu akufanyie wepesi upate hitaji lako.

PS: Kuwa Makini na mabazazi hawachelewi kuteleza juu la ganda la ndizi au kuteleza kwenye tiles zenye povu la sabuni.
 
Kwanini katika vipaumbele vyako vya kazi hujataja hiyo diploma yako ili upate kazi kulingana na pro yako.....???
 
Ni ujinga kuomba upewe pesa ya kuuza vitumbua, anashindwa kuazima elfu 20, kwa braza, dada, mjomba, aunt, mama/baba mdogo akauza akapata faida akarudisha pesa yao??
Umenena maana now nitaji nje nje...
 
Tukisema kila mtu aandike mapito yake utashangaa nakujiona unamkufuru Mungu kwa yote unayolalamikia, kuajiriwa hakika hakujawahi maliza matatizo ya pesa!

Badili mtazamo wako, tafuta kijipesa kidogo anza biashara, fanya research uuze vitumbua asubuhi na jioni uone kama hutapata zaidi ya laki 6 kwa mwezi. Shida yenu mnapenda mteremko mno mumezoea kuishi kwa pesa za wanaume.

Badirika mdada, jitume acha usister duu, tatizo lako unaangalia status yako badirika chapa kazi, hicho kijidiploma chako kisikutie kiburi mimi nauza genge na degree yangu vyeti nimetupa kapuni.
acha kutumia lugha za maudhi mkuu umesoma lakini haujastaarabika, unamawzo mazuri lkn uwasilishaji wako niwa kibashite, hakuna mfanya biashara mwenye lugha za kejeli na maudhi kama izo zako. kama huwezi kuchangia pasipo kumkera mtu ungepiga kimia
 
Back
Top Bottom