Mitandaoni kuna source genuine na fake za kupata information, unajuaje kama hata hizo info fake za mitandoni walio behind yake ni haohao CIA?Mmarekani anaongoza kelele za kwenye media tu ila si ujasusi, ingia mtandaoni tafuta list zote za vyanzo vya kuaminika. ISI ndiyo namba moja.
Hebu ilete source genuine ambayo inaonesha CIA anacontrol mitandao na pia anaongoza. Kama operation za ISI nishakuwekea hapo juu toka Wikipedia.Mitandaoni kuna source genuine na fake za kupata information, unajuaje kama hata hizo info fake za mitandoni walio behind yake ni haohao CIA?
Na mambo ya intelligence yanaendeshwa kwa usiri mkubwa na important ni budget ya kuendeshea mambo hayo, US is far far ahead kwenye tasnia mkuu
Nadhani nawajua wamarekani zaidi kwa kusoma literature nyingi kuwahusu, siwezi danganyika na links za mitandao ianayoo nyesha ISI ni superior kwa CIA na MOSSADHebu ilete source genuine ambayo inaonesha CIA anacontrol mitandao na pia anaongoza. Kama operation za ISI nishakuwekea hapo juu toka Wikipedia.
Hiyo mitandao huyo CIA angekuwa anaongoza angeshashika hackers wote wa system yao waliyokuwa wakipekua taarifa watakavyo
Ukisoma hiyo source ISI wanafanya joint na CIA. INTER!Hebu ilete source genuine ambayo inaonesha CIA anacontrol mitandao na pia anaongoza. Kama operation za ISI nishakuwekea hapo juu toka Wikipedia.
Hiyo mitandao huyo CIA angekuwa anaongoza angeshashika hackers wote wa system yao waliyokuwa wakipekua taarifa watakavyo
FSB ni home intelligence kudeal na ishu za ndani.mfano FBIThanks mkuu ni FSB
ISI walikuwa wanashirikiana sana na CIA,has a kipindi soviet union ilipoiingia Afaghnistan,hawa ISI ndo wakipikea fund na silaha toka marekani kisha wanawatrain mujahidina akina bin laden na kuwapa silaha za kupambana na mrusi,kila kitu toka marekani kilipita mikononi mwa ISI,lengo likiwa kumtepetesha mrusi kiuchumi na kijeshi kwa kufanya ukaliaji wake afaghnistan use wa gharama kubwaMOSSAD na CIA oparations zao over the years zinajulikana na hata missions walizo zi accomplish successfully zinajulikana.
Its conspired kua hata kuanguka kwa iliyokua USSR kuna mkono wa CIA katika longtime mission plans zao ambapo watu wanawaguna guna kina Mikhail Gorbachev na Boris Yeltsin walioanzisha Glasnost na Perestroika zilizoisambaratisha USSR walikua wakifanya kazi kwa maslahi ya America
Sasa kuilinganisha ISI na CIA au MOSSAD nadhani si sawa mkuu
Kazi ya kukamata hacker ni ya NSA,hilo dubwsha ni noumer,mawasiliano yote ya electronics mfano simu,telefax,email etc,hawa watu wanavuna information,dunia mzima,server zao ni kubwa mno,mahekaliHebu ilete source genuine ambayo inaonesha CIA anacontrol mitandao na pia anaongoza. Kama operation za ISI nishakuwekea hapo juu toka Wikipedia.
Hiyo mitandao huyo CIA angekuwa anaongoza angeshashika hackers wote wa system yao waliyokuwa wakipekua taarifa watakavyo
Kama hujui kuna Taarifa nyingine zinazo dukuliwa ni chambo tu! Huwezi kumpata samaki bila mtego na chambo!!Hebu ilete source genuine ambayo inaonesha CIA anacontrol mitandao na pia anaongoza. Kama operation za ISI nishakuwekea hapo juu toka Wikipedia.
Hiyo mitandao huyo CIA angekuwa anaongoza angeshashika hackers wote wa system yao waliyokuwa wakipekua taarifa watakavyo
Hadi kudukuliwa FBI na CIA wanashughulika wao? Maana kuna watu wanadukua system za hiyo mitandao kama kumeza maji na hawajashilwaKazi ya kukamata hacker ni ya NSA,hilo dubwsha ni noumer,mawasiliano yote ya electronics mfano simu,telefax,email etc,hawa watu wanavuna information,dunia mzima,server zao ni kubwa mno,mahekali
Na sijasemea hizo taarifa chambo, watu wanabypass hadi firewall za system zao unasema chamboKama hujui kuna Taarifa nyingine zinazo dukuliwa ni chambo tu! Huwezi kumpata samaki bila mtego na chambo!!
Ambacho urusi hawakiwezi ni intelijensia ya uchumi ila kiulinzi wanaongoza duniani. Marekani anaujua uchumi na sera zake za kibepari ndo zinamfanya aitawale Dunia. Ila intelijensia ya ulinzi nchi zote zinatambaa kwa mrusi.Wataalazmu wa mambo ya intelijensia naomba msaada wenu, uzoefu wangu ni wakusoma vitabu vya espionage ziwe za kitechnolojia, uchumi , kijeshi au za kisiasa zinazohusisha mataifa makubwa ulimwenguni zikiwemo nchi za Marekani, Ulaya ya Magharibi kama Uingereza, Ujerumani Ufaransa na hata zilizokua nchi za kisoshalist za Ulaya ya Mashariki ikiwemo Urusi na Mashariki ya kati Israel ikiwa kinara
Katika usomaji wangu nakuta mara nyingi Urusi inafanya mambo ambayo kiakili unaona hayawezekani. Utakuta Shirika la Ujasusi la Urusi wakati huo linaitwa KGB(sijui sasa linaitwaje) linaendesha (lina run) ma agent wa CIA na kuwafanya kua double agents, yaani CIA agents wanakua informers kwa faida ya Urusi! Tena sio ofisa mmoja wa CIA au wawili ni kwa makumi kama ambavyo Marekani nao wanakua na watu wao ambao wana wa run ma agent wa Kirusi!
Kwa upeo mdogo wa mambo haya niliyokua nao naona ajabu sana Marekani kufanyiwa kitu hiki na Urusi mpaka najiuliza au ni kwavile vitabu ninavyosoma vingi ni fiction labda maana wahusika na matukio ya kubuni tu? Urusi kama inavyofanya Marekani ina run ma agents wa Nchi za Magharibi na kuna wengine wana defect kabisa na kuhamia Urusi!
Bado najiuliza kuna power ya Russia ambayo sisi hatuijui ila Marekani wanaitambua na kuiheshimu?Au Amerika inakua overrated na Russia inalijua hilo kwa hivyo hawaigopi?
Hapa nimemaliza kusoma litabu cha Frederick Forsyth THE DEVIL'S ALTERNATIVE, THE FOUTH PROTOCAl. Hawa jamaa wanapelelezana na wanajuana na huwezi jua nani zaidi. Ila sema tu kitabu ni fiction so sijui ukweli ukoje. Kama kuna anejua atupe darasa wana JF
Inategemea umehack nini,maana unaweza kuhack,then wao wakatengua,vile vile wanakupata wakiamua kukutafuta.Hadi kudukuliwa FBI na CIA wanashughulika wao? Maana kuna watu wanadukua system za hiyo mitandao kama kumeza maji na hawajashilwa
NSA kuna mahacker tu wa mtaani wamewashinda
Kuna conspiracy theorise katika literature za hao wamarekani kwenye vitabu vyao kadhaa kuhusu mambo ya espionage kwamba kuwapunguzia bajet hawa jamaa wa NSInategemea umehack nini,maana unaweza kuhack,then wao wakatengua,vile vile wanakupata wakiamua kukutafuta.
Wana server zao kwa ulinganishi zinahifadhi data za kutosha DVD billion 250.
Hawa ndo the most secretive intelligence agency katika marekani na INA bajeti kubwa kuliko hats CIA
Kuna conspiracy theories katika literature zao wenyewe Wamarekani ukisoma vitabu vya espionage kwamba NSA wakipunguziwa bajeti wanaweza wakaandaa tukio la ajabu kuhusu usalama ili wanasiasa wasiiguse proposal ya basiti yaoInategemea umehack nini,maana unaweza kuhack,then wao wakatengua,vile vile wanakupata wakiamua kukutafuta.
Wana server zao kwa ulinganishi zinahifadhi data za kutosha DVD billion 250.
Hawa ndo the most secretive intelligence agency katika marekani na INA bajeti kubwa kuliko hats CIA
Umenikumbusha mkuu kuna ile protocol inaitwa Warsaw Pack nadhani iliundwa ku counter NATO sijui kama bado ina exist....mwenye information naomba utufahamishe.Propaganda ina nafasi kubwa sana katika mataifa makubwa. Naam, mada nzuri sana. Ila kiujumla, inaonyesha Russia wako vizuri sana. Maana kuanzishwa kwa NATO kulilenga kuzuia uwezo wa Russia ....kwenye mambo kama hayo. Nchi zaidi ya 20, dhidi ya nchi moja? Kama mtoa mada alivyonena, bila Shaka kuna mengi mno...tusiyoyajua.
Hiyo list inatupaje China..wakati imefanikiwa kutungua ma'agents' wa US kama mwenye manati atunguavyo kwerea kwerea kwenye shamba la mtama? ...List inawalakini!ndiyo ikaja CIA.