RUV ACTVIST.
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 472
- 111
Hii nchi ni kubwa haiwezi jengwa na MTU mmoja,haiwezi jengwa kwa mbwembwe za watu wote tumfuate mtu mmoja
Kidole kimoja hakivunji chawaHii nchi ni kubwa haiwezi jengwa na MTU mmoja,haiwezi jengwa kwa mbwembwe za watu wote tumfuate mtu mmoja
That is yo fuc******g problem.Hii nchi ni kubwa haiwezi jengwa na MTU mmoja,haiwezi jengwa kwa mbwembwe za watu wote tumfuate mtu mmoja
hawa vijana ndio waliosoma upe uwezo wao wa kuhoji na uelewa wao ni sofuriMmmm!!
Kweli vijana wetu wana shida . Una anza kwa kuongelea CCM. Kabla huja enda hatua 2 tayari ume potea njia.
Una anza kuongelea mtu mbona una huko hivyo?
Huoni yote mazuri yaliyo let wa na Rais na Chama chake?
Au uli taka uletewe ugali mezani na kulishwa? Fanya kazi wacha CHIKO CHIKO .
Sasa ni kazi tuu la sivyo umati wa wa TZ utapita
Mpaka leo siamini kama rais wa tanzania ni kufuliMmmm!!
Kweli vijana wetu wana shida . Una anza kwa kuongelea CCM. Kabla huja enda hatua 2 tayari ume potea njia.
Una anza kuongelea mtu mbona una huko hivyo?
Huoni yote mazuri yaliyo let wa na Rais na Chama chake?
Au uli taka uletewe ugali mezani na kulishwa? Fanya kazi wacha CHIKO CHIKO .
Sasa ni kazi tuu la sivyo umati wa wa TZ utapita