Albert sawe
Member
- May 31, 2013
- 10
- 1
Hivi unafikiri kupandisha madaraja ya kufaulu ndio kupandisha hali ya ufaulu kwa wanafunzi pamoja na hayo yote je! Maisha bora kwa kila mtanzania yatatoka wap kwa hali hii?
jikomboe peke yako kwa kuweka mazingira mazuri ya kuelimika na kuelimishwa,Jamani 2fanye nn watanzania kujikomboa kielimu