dream100
Member
- Jul 29, 2015
- 27
- 2
Jaman naitaji maoni yenu juu ya ttz ili kwa vijana wa kiume. Cjajua bd ila utakuta kijana yuko na girl ahadi nyingi na maneno matam ya kimapenzi maby mme wa MTU au yuko single lkn cku ukimwambia najiisi mimba ndo cko ulompa kadi nyekundu cwasemi wote icpokuwa 85% wapo ivyo ivi km yy angekataliwa angejickiaje na je nn ttz juu ya ili? Ukipenda boga penda na UA lake maoni