Badili Computer yako kuwa router/Wifi Hotspot (Linux and Windows)

Badili Computer yako kuwa router/Wifi Hotspot (Linux and Windows)

deejaywillzz

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
637
Reaction score
224
Microsoft windows pamoja na Linux wana technology ya ad-hoc ambayo inakuja na operating system inayo kuruhusu ku sambaza wifi kwa kutumia wireless card ya laptop au desktop PC.

Tatizo likaja ya kwamba kwa technology hii ni ya PC-to-PC, hauwezi ku-connect devices za android, windows mobile na nyingine na hii ni sababu simu nyingi zinatumia Access-Point mode badala ya Ad-Hoc mode. Baada ya kufanya research ya kutosha nikagundua kuna utaalamu wa ku sambaza Wifi kwa Access Point.

Kwa wale watumiaji wa Windows kuna software inaitwa mHotspot (mHotspot - Turn your laptop into wifi hotspot) ambayo ni rahisi kutumia, ukisha install unafanya few configuration kutokana na mahitaji yako kisha vualaaa device zote zinakuwa na uwezo wa ku detect.

Kwa wale watumiaji wa Linux kuna Hostapd ambayo pia inahitaji uwe ume install dhcp3-server. Ina maelekezo marefu na sitaki kuwachosha watu wasiopenda kusoma stori, ukitaka maelekezo zaidi kuhusu Hostapd kwenye Linux gonga hapa: https://www.jamiiforums.com/tech-ga...ne-into-a-wifi-access-point.html#post10966037
 
deejaywillzz
Nafikiri mhotspot kwa windows iko poa sana maana sio complicated S/W ila kama PC yako iko poa Connectify iko poa pia inaweza kushare internet kwa njia ya Wireless na Wired
Ila ubovu wake ni paid application ila tunamshukuru Mungu kuna vitu kama "torrent" ambako unatumia paid apps zilizo cracked
 
Last edited by a moderator:
Nafikiri mhotspot kwa windows iko poa sana maana sio complicated S/W ila kama PC yako iko poa Connectify iko poa pia inaweza kushare internet kwa njia ya Wireless na Wired
Ila ubovu wake ni paid application ila tunamshukuru Mungu kuna vitu kama "torrent" ambako unatumia paid apps zilizo cracked

Si ungetupia ma-link mkuu kwa faida ya jukwaa letu pendwa watu waweze kupata hizo cracked applications kiongozi...?'
 
deejaywillzz
Nafikiri mhotspot kwa windows iko poa sana maana sio complicated S/W ila kama PC yako iko poa Connectify iko poa pia inaweza kushare internet kwa njia ya Wireless na Wired
Ila ubovu wake ni paid application ila tunamshukuru Mungu kuna vitu kama "torrent" ambako unatumia paid apps zilizo cracked

Hata hiyo ni nzuri pia nilishawahi kuitumia ila ikanisumbua kwenye network adapter ilikuwa hai recognize modem network adapter and the fact ilikuwa ni crack ikanikatisha tamaa. I like legit stuff
 
Very secure eeh? Inatumia security gani?
Kiranga Swali lako mbona linakuwa kama hauna nia ya Kijifunza au kunifundisha bali kubishana? Inatumia WPA2-Person (Encryption).

Nadhani unaelewa kiingereza vizuri kwahiyo ukitaka information kuhusu mHotspot website yao ni hii (www.mhotspot.com)
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom