BACHELOR OF SCIENCE IN ELECTRONIC AND COMMUNICATION

BACHELOR OF SCIENCE IN ELECTRONIC AND COMMUNICATION

bab N

Member
Joined
Jul 29, 2016
Posts
75
Reaction score
35
Wadau habari zenu ,naombeni ushauri kwa wenye uwelewe wa course niliyoitaja hapo juu ,nina mdogo wangu kaomba course hiyo in udsm ,
Kwa wenye experiences ya kozi hiyo nakaribisha ushauri ,sana nilihitaj kufahamu kazi zake (career) na pia marketing yke,

Lkn pia kma nitapta utafauti wa course hiyo na ile inayoitwa electronic and telecommunications engeneer.
Ahsanteni
 
muwe mnaangalia na kozi za kusoma bora ungesoma hata tel.com
 
Ina itwa Bachelor of Science in Electronic Sciences and Communications.

Ni kozi pana kama jina lake lilivyo. Ni pana kuliko hiyo ya telecoms ama kozi za computer sciences.
Ina husu sayansi ya umeme mdogo (electronics) kama vile mifumo ya computer, simu, tv, radio, mashine za kielektronic viwandani, ktk afya na nyanja nyingine. Na mifumo ya mawasiliano kama vile ya computer, mawasiliano ya simu, radio, tv, vifaa vya uchunguzi kama vile wa afya, hali ya hewa na kadharika.
Soko lake ni ktk viwanda, idara Zote zenye mashine za kielectronic, idara za computer, makampuni ya simu, na utangazaji -radio, tv, majeshi n.k.
Miaka ya nyuma kozi hii ndiyo ilikuwa ina chukua wanafunzi wachache wenye ufaulu wa juu zaidi wa PCM, na ilikuwa pale UDSM peke yake.
Ni kozi nzuri.

Wadau habari zenu ,naombeni ushauri kwa wenye uwelewe wa course niliyoitaja hapo juu ,nina mdogo wangu kaomba course hiyo in udsm ,
Kwa wenye experiences ya kozi hiyo nakaribisha ushauri ,sana nilihitaj kufahamu kazi zake (career) na pia marketing yke,

Lkn pia kma nitapta utafauti wa course hiyo na ile inayoitwa electronic and telecommunications engeneer.
Ahsanteni
 
Ina itwa Bachelor of Science in Electronic Sciences and Communications.

Ni kozi pana kama jina lake lilivyo. Ni pana kuliko hiyo ya telecoms ama kozi za computer sciences.
Ina husu sayansi ya umeme mdogo (electronics) kama vile mifumo ya computer, simu, tv, radio, mashine za kielektronic viwandani, ktk afya na nyanja nyingine. Na mifumo ya mawasiliano kama vile ya computer, mawasiliano ya simu, radio, tv, vifaa vya uchunguzi kama vile wa afya, hali ya hewa na kadharika.
Soko lake ni ktk viwanda, idara Zote zenye mashine za kielectronic, idara za computer, makampuni ya simu, na utangazaji -radio, tv, majeshi n.k.
Miaka ya nyuma kozi hii ndiyo ilikuwa ina chukua wanafunzi wachache wenye ufaulu wa juu zaidi wa PCM, na ilikuwa pale UDSM peke yake.
Ni kozi nzuri.
Thanks alot brother, nimekusoma vzr
 
Back
Top Bottom