Bachelor of science in chemistry

Bachelor of science in chemistry

thomas_360

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2015
Posts
1,458
Reaction score
1,436
Nawakumbusha tu vijana wa form six mnaoomba nafasi msisahau kuomba na hii programme wengi wanaidharau lakini kadri miaka inavyoenda na ndo inazidi kutambulika na watu kuona umuhimu wake.....karibuni sana kwenye uwanja wa wakemia....mwenye swali uliza
 
Ni kozi nzuri ingawa si kihivyo ndio maana hata wewe hadi sasa kazi huna
 
Nawakumbusha tu vijana wa form six mnaoomba nafasi msisahau kuomba na hii programme wengi wanaidharau lakini kadri miaka inavyoenda na ndo inazidi kutambulika na watu kuona umuhimu wake.....karibuni sana kwenye uwanja wa wakemia....mwenye swali uliza
Mwingine kwa sasa ni mwalimu wa chemistry
 
mkuu hata wa foundation course wanaruhusiwa kuisoma hyo ??
 
Ila connection muhimu, mfano mzuri mwezi huu EWURA wametangaza nafasi za ajira na katika post zilizotolewa na watu wa holder ya Bsc chemistry wapo....na post zilizotolewa zilikuwa zinahusiana na INSPECTION/ UKAGUZI so sio lazima mkemia akae maabara, unaweza kuwa inspector officer as long as unaknowledge ya quality control and assurance lakini pia na hiyo field ambayo unaenda kufanyia ukaguzi...
 
Nawakumbusha tu vijana wa form six mnaoomba nafasi msisahau kuomba na hii programme wengi wanaidharau lakini kadri miaka inavyoenda na ndo inazidi kutambulika na watu kuona umuhimu wake.....karibuni sana kwenye uwanja wa wakemia....mwenye swali uliza
Naomba kuuliza mkuu,ipi combination nzuri kama umepata BSc general UDSM ??
Wengi wanasema Ukichanganya Chemistry and Microbiology ndo inakuwa poa,je ni kweli mkuu? Au combination ipi iko poa kwa upande wa ajira soon ukimaliza BSc general?
 
Programme zingine huwa zinachanganya watu hasa kwenye kutafuta ajira so bora uwe specific seehhemu moja
Naomba kuuliza mkuu,ipi combination nzuri kama umepata BSc general UDSM ??
Wengi wanasema Ukichanganya Chemistry and Microbiology ndo inakuwa poa,je ni kweli mkuu? Au combination ipi iko poa kwa upande wa ajira soon ukimaliza BSc general?
 
Hiyo BSC general huwa naisikia but cjui content yake vizur so kama unafanya application Fanya either bsc chemistry au bsc microbiology
Naomba kuuliza mkuu,ipi combination nzuri kama umepata BSc general UDSM ??
Wengi wanasema Ukichanganya Chemistry and Microbiology ndo inakuwa poa,je ni kweli mkuu? Au combination ipi iko poa kwa upande wa ajira soon ukimaliza BSc general?
 
Back
Top Bottom