Bachelor of science in biology

Bachelor of science in biology

baada ya kumaliza atahang mtaani tu ..hiyo course ni kama zile bachelor za chemistry ....akimaliza mwambie asome postgraduate ya education inatolewa Udom pale pale au anaweza kubadilisha mazingira aje kusoma postgraduate udsm. ...
 
baada ya kumaliza atahang mtaani tu ..hiyo course ni kama zile bachelor za chemistry ....akimaliza mwambie asome postgraduate ya education inatolewa Udom pale pale au anaweza kubadilisha mazingira aje kusoma postgraduate udsm. ...
Mkuu nadhani bado hujatoa jibu la swali moja kwa moja,
Ingawa umetoa ushauri mzuri na nitaufikisha lakini tukirudi kwenye swali la msingi ata base kwenye ishu gani, hata kama asipo ajiriwa.
 
Habari wadau wa Elimu, kuna dogo amepangwa chuo cha UDOM
(Bachelor of science in biology)
Sasa anahitaji kujua hii faculty atabase kwenye ishu gani hasa baada ya kumaliza masomo?
Anaulza baada ya kuapply na kupangwa kabsa hzo details zltakiwa awe nazo b4 hata hajaaply, anyway ngoja nmuulze jamaang alyesoma hyo faculty ntaleta mrejesho though namuona anahang tu street mwaka wa pl nw tangu ahtimu.
 
Anaulza baada ya kuapply na kupangwa kabsa hzo details zltakiwa awe nazo b4 hata hajaaply, anyway ngoja nmuulze jamaang alyesoma hyo faculty ntaleta mrejesho though namuona anahang tu street mwaka wa pl nw tangu ahtimu.
Hahahahaaaaa
Ndio elimu yetu ya bongo, wengi hujikuta ambapo hawakutarajia sababu ya kukosa ushauri na dira ya nini afanye na wapi aelekee.
Nasubiri feedback mkuu maana nae anasubiri mrejesho kutoka kwangu.
 
Anaulza baada ya kuapply na kupangwa kabsa hzo details zltakiwa awe nazo b4 hata hajaaply, anyway ngoja nmuulze jamaang alyesoma hyo faculty ntaleta mrejesho though namuona anahang tu street mwaka wa pl nw tangu ahtimu.
Hahahahaaaaa
Ndio elimu yetu ya bongo, wengi hujikuta ambapo hawakutarajia sababu ya kukosa ushauri na dira ya nini afanye na wapi aelekee.
Nasubiri feedback mkuu maana nae anasubiri mrejesho kutoka kwangu.
 
uta
Hahahahaaaaa
Ndio elimu yetu ya bongo, wengi hujikuta ambapo hawakutarajia sababu ya kukosa ushauri na dira ya nini afanye na wapi aelekee.
Nasubiri feedback mkuu maana nae anasubiri mrejesho kutoka kwangu.
utaenda kufundisha uzazi wa mpango vijijini na namna ya watu kujikinga na kipindupindu,malaria na kichocho kwa kujitolea
 
uta

utaenda kufundisha uzazi wa mpango vijijini na namna ya watu kujikinga na kipindupindu,malaria na kichocho kwa kujitolea
Poaa, but ungesoma vizuri thread ndio u comment, hii thread nimeiweka hapa jukwaani kwaniaba.
 
Poaa, but ungesoma vizuri thread ndio u comment, hii thread nimeiweka hapa jukwaani kwaniaba.
watu tuko mtaani tunakupa fact sasa sijui ungependa ni coment kitu gani. subiri watakuja na wengine
 
baada ya kumaliza atahang mtaani tu ..hiyo course ni kama zile bachelor za chemistry ....akimaliza mwambie asome postgraduate ya education inatolewa Udom pale pale au anaweza kubadilisha mazingira aje kusoma postgraduate udsm. ...
eh mzee SODOKA naona upo apo UDSM unamsubir kijana,aje asome.we unapiga nin apo mkuu?
 
Anaweza pia kufanya kazi hata kwenye hifadhi as ecologists kama atapa nafasi maana hapo anasoma kuanzi macro hadi micro organism
Na Pia nilikuwa n.a. vijana kutoka UDOM wanaosoma hiyo course lake manyara national park walikuwa wanafanya field idara ya ecologia even if hawako deep ila wanakuwa n.a. idea fulani. Yangu ni hayo ila mwambie akapige kitabu sana
 
Anaweza pia kufanya kazi hata kwenye hifadhi as ecologists kama atapa nafasi maana hapo anasoma kuanzi macro hadi micro organism
Na Pia nilikuwa n.a. vijana kutoka UDOM wanaosoma hiyo course lake manyara national park walikuwa wanafanya field idara ya ecologia even if hawako deep ila wanakuwa n.a. idea fulani. Yangu ni hayo ila mwambie akapige kitabu sana
Pamoja sana mkuu, mawazo yako nitayawasilisha kama yalivyo.
Ninyi ndio great thinkers mnao tambua maana ya haya majukwaa.
 
eh mzee SODOKA naona upo apo UDSM unamsubir kijana,aje asome.we unapiga nin apo mkuu?

Noo....mie ni veterani .. ..elimu ya bongo sio ya kukurupukia kuna course zingne zimewekwa chambo unaposhauriwa humu JF usijione kama unakatishwa tamaa ......unashauriwa na watu wenye uelewa na soko la ajira ...
 
Noo....mie ni veterani .. ..elimu ya bongo sio ya kukurupukia kuna course zingne zimewekwa chambo unaposhauriwa humu JF usijione kama unakatishwa tamaa ......unashauriwa na watu wenye uelewa na soko la ajira ...
ah ni sahih nadhani,ni kwa sababu ya utaratibu tu na sera za elimu ya nchi yetu au sis wenyew wahusika kutokujua tunasom,ili badae tuje kuwa nan? lakin mi nipo miongoni mwa hizo course unazozisema ila sitakaa nijutie kwa uamuzi wang wa kuamua kusoma course kam hyo kam yanayosemwa n kweli,kwa maana ni thaman ya kitu kusoma unapenda na una uwezo au uelewa nacho.
 
ah ni sahih nadhani,ni kwa sababu ya utaratibu tu na sera za elimu ya nchi yetu au sis wenyew wahusika kutokujua tunasom,ili badae tuje kuwa nan? lakin mi nipo miongoni mwa hizo course unazozisema ila sitakaa nijutie kwa uamuzi wang wa kuamua kusoma course kam hyo kam yanayosemwa n kweli,kwa maana ni thaman ya kitu kusoma unapenda na una uwezo au uelewa nacho.
There you are asilimia kubwa wengi wanejikuta kwenye nafasi ambazo hawakuzitarajia, kutokana na tangu awali hakujua anasoma awe nani, na asomee nini ili awezekufikia malengo yake.
Mfano: mimi binafsi wakati nipo o level nilikuwa na uwezo mkubwa sana kwenye masomo ya biashara, lakini kutokana na kutokujua hatima ya kusoma hayo masomo ninini nikajikuta nafuata mkumbo nikaachana na masomo ya biashara na kuhamia mchepuo wa sayansi, jambo ambalo hadi leo najutia.
 
baada ya kumaliza atahang mtaani tu ..hiyo course ni kama zile bachelor za chemistry ....akimaliza mwambie asome postgraduate ya education inatolewa Udom pale pale au anaweza kubadilisha mazingira aje kusoma postgraduate udsm. ...
Bsc Chemistry ni bonge la kozi ina ajira nying balaa, Kwa mkemia, mkuu wa serikali, TBS, RESEARCH INSTITUTE, TFDA, VIWANDA VYA CEMENT, BILA HUYU BWANA QUALITY YA CEMENT NI NOTHING, VIWANDA VYA MAJI, ZANUFA, KWA KIFUPI BSC CHEMISTRY ndio quality control wa kwenye viwanda mkuu
 
Bsc Chemistry ni bonge la kozi ina ajira nying balaa, Kwa mkemia, mkuu wa serikali, TBS, RESEARCH INSTITUTE, TFDA, VIWANDA VYA CEMENT, BILA HUYU BWANA QUALITY YA CEMENT NI NOTHING, VIWANDA VYA MAJI, ZANUFA, KWA KIFUPI BSC CHEMISTRY ndio quality control wa kwenye viwanda mkuu
Vipi kuhusu Bsc Biology?
 
Back
Top Bottom