Bachelor of helth system management

Hiyo kozi achana nayo, itakutesa kama unataka kuajiriwa, kama ni hiyo inayotolewa Mzumbe lakini.
 
sio nzuri.inaitwa ukatibu afya.ajira yake balaa
 
Kwanza hongera kwa kufaulu vizuri ..Hiyo kozi huchukua cream za masomo ya Arts

Nenda kasome hiyo course
 
Kapige hiyo kozi asikudanganye mtu mzee..
 
Kasome hiyo course una pewa mkopo 100% pia imeanza mwaka jana maanake competation ni ndogo
 
Kasome hiyo course una pewa mkopo 100% pia imeanza mwaka jana maanake competation ni ndogo
Acha kumdanganya mwenzio,kuna waliosoma iyo course na mkopo wamekosa na pia haikuanza mwaka jna maana kuna watu tunagraduate nao mwaka huu labda kama ni chuo kingine na sio mzumbe
 
Acha kumdanganya mwenzio,kuna waliosoma iyo course na mkopo wamekosa na pia haikuanza mwaka jna maana kuna watu tunagraduate nao mwaka huu labda kama ni chuo kingine na sio mzumbe
Wanaograduate ndio wakwanza au nmekosea...aya sasa about loan unafkr n medcne kila mtu apewe..
 
Wanaograduate ndio wakwanza au nmekosea...aya sasa about loan unafkr n medcne kila mtu apewe..

Nadhani batch ya kwanza kwa kozi hiyo ilitoka 2011 Kama sijakosea, coz tuna Katibu wa afya alieajiriwa mwaka huo fresh from Chuo(MU)
 
Kama heading inavyo sema wadau naomba kujua kiundani kuhusu hiyo coz pleas
Ahhhhh aya mkuu ila tulishaitolea maelezo Mara nyingi sana
hongera kwa kujiunga na MU
 
Acha kumdanganya mwenzio,kuna waliosoma iyo course na mkopo wamekosa na pia haikuanza mwaka jna maana kuna watu tunagraduate nao mwaka huu labda kama ni chuo kingine na sio mzumbe
Kuanzia mwaka juzi ni priority
 
Wakuu...eti bachelor of science in procurement and chain supply management inahusiana na nini??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…