Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,108
- 5,626
bonge moja ya course.. itakuhakikishia mafungu ya semina na marupurupu..miradi ya kimichezo na safari kibao.. waweza kuwa afisa michezo manispaa au wa halmashauri... mwalimu mkufunzi wa michezo vyuo vya diploma..au sekondari...
ingawa kuna uwezekano wa kuanza kuajiriwa kama mwl wa kawaida wa kufundisha class...ila fursa yako ikitokea tuu UNAPEWA hainaga mizengwe hii..
nami nitaisoma kwa moyo wote,kaka asante
i assure you.. u'll never regret.
i assure you.. u'll never regret.
Sheheee, mbona wewe hukuisoma kama ina maslahi sana?
miaka/kipindi changu hakukuwa na watu wa kutoa guidance juu ya course nzuri za kusoma.. what i knew ni kuwa course za kipaumbele kupata mkopo mnene na uhakika wa ajira ni zipi ikabidi nichome katika mojawapo..SIKUWA NA MTU WA KUTOA MUONGOZO JENGEFU.. NA HAKUKUWA NA VYANZO VINGI VYA TAARIFA KAMA ILIVYO NYAKATI HIZI Mphamvu
vip cut point zake na comption ipoje
miaka/kipindi changu hakukuwa na watu wa kutoa guidance juu ya course nzuri za kusoma.. what i knew ni kuwa course za kipaumbele kupata mkopo mnene na uhakika wa ajira ni zipi ikabidi nichome katika mojawapo..SIKUWA NA MTU WA KUTOA MUONGOZO JENGEFU.. NA HAKUKUWA NA VYANZO VINGI VYA TAARIFA KAMA ILIVYO NYAKATI HIZI Mphamvu
hebu jaribu kupitia TCU GUIDE BOOK.. hopefully watakuwa wameainisha kule
Ila hujachalewa mwanangu, ukiona vipi vipi kafanye hata kozi ya muda mfupi ya mafunzo ya ukocha ukamatie leseni. Ifike mahali Soka litulipe, mie ninayo certificate ya Sport Administration na ingine ya Sports MAkerting
Mdogo wangu. Wakati nasoma hapo miaka ya mwanzoni
asante sana kaka
Course ya maana sana hiyo
bonge moja ya course.. itakuhakikishia mafungu ya semina na marupurupu..miradi ya kimichezo na safari kibao.. waweza kuwa afisa michezo manispaa au wa halmashauri... mwalimu mkufunzi wa michezo vyuo vya diploma..au sekondari...
ingawa kuna uwezekano wa kuanza kuajiriwa kama mwl wa kawaida wa kufundisha class...ila fursa yako ikitokea tuu UNAPEWA hainaga mizengwe hii..
Hakuna vyuo vingine vitoavyo zaidi ya UD!Kimsingi hii ni shahada ya ualimu inayotolewa na Chuo Kikuu Dar es Salaam, pamoja na kufundisha stadi zingine za msingi za ualimu msisitizo wake upo katima michezo.
Wanafunzi wa shahada hii hutoka moja kwa moja Kidato cha Sita au kutoka vyuo vya ualimu na hufundishwa michezo karibu yote kiufundi, utawala, masoko, saikolojia na mambo mengine ambayo yanahusu michezo.
Mwanafunzi anayehitimu shahada hii huweza kuwa mwalimu wa michezo katika Sekondari au vyuo vya ngazi ya cheti na stashahada, huweza kuwa maafisa michezo wa wilaya, mkoa au mashirika mbalimbali na pia huweza kufanya kazi katika vyama, mashirikisho pamoja na vilabu vya michezo kote nchini.
Wanafuzu pia kuwa makocha, watawala au hata waamuzi wa michezo mbalimbali.
Karibu.