King Mutesa
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 227
- 140
Wanajamii naomba mnifahamishe..!
Kusoma hii kozi ni lazima uwe Mwalimu.!?
Kusoma hii kozi ni lazima uwe Mwalimu.!?
si lazima..
Shukrani kaka kinduluuma maa mtaa ununishushia hadhi kabisa mimi kuwa mwalimu.......!
usihofu kuwa walimu kwa sababu ni fani ambayo imetoa watu wengi ambao wanafanya kazi tofauti na fani ya ualimu waliyoanzia. Cha msingi ni determination na na usikate tamaa. Tena ukiwa chuo piga msuri wa kufa mtu ili kujiwekea mazingira mazuri ambayo ukiwa kazini inakupa diversity ya opportunities. hapa nina maanisha tengeneza GPA iwe nzuri at least upper second kuna mascholarship ya kufa mtu kwa wale wasiopenda kulaza damuShukrani kaka kinduluuma maa mtaa ununishushia hadhi kabisa mimi kuwa mwalimu.......!