anatuvuruga tu huyu chuo kingine kipi hicho mbona hutaki kuweka wazi ,UDOM haina Civil Engineering mwaka huu
nilichogundua ni kuwa mgogoro binafsi ulionao ni kuhusu Civil Engineering vs udsm ,nenda Civil mkuu acha poyoyo apa, ukishindwa kuitema udsm nenda ukifika kaombe uhamie Civil ,FULL STOP!!!